Kumtamkia mzazi wako nakupenda kimaadili ya Kitanzania ni utovu wa nidhamu

Kumtamkia mzazi wako nakupenda kimaadili ya Kitanzania ni utovu wa nidhamu

I think it depends na malezi so hatuwezi kukulaumu.

Binafsi huwa namumambia Baba Yangu nampenda kila mara kwa sababu natambua uwepo wake maishani mwangu.

Sio rahisi kuwalea watoto wa kike wawili pekee yake na kuhakikisha basic needs zao wanapata.

The older you get ndo unajua kweli mzazi wako ali fight kwa ajili yako.

There are other ways of showing your parents that you love them and appreciate them. You don't have to say it. Ila wanaowaambia pia wapo sahihi.

Tusi force kufanana.
 
Habari wakuu,

Tangu awali nilishasea huu uzungu na haya maisha ya watoto wa kishua sijui wanampango gani na vizazi vyetu,

Siku moja kuna star mmoja na mchekeshaji maarufu alifiwa na mama yake mzazi sasa jamaa alishinda akipost video alivyokuwa anaishi na mama yake mara wabusiane mara wakumbatiane mara walishane yaani hadi nilikuwa nikitazama zile video binafsi moyo unalipuka kwa kweli kwa hili mimi nitabaki kuwa mshamba kama ushamba wenyewe ndio huo basi nipo tayari kuvishwa taji la ushamba.

Mimi binafsi nimekuwa katika mazingira ya kijijini sikuwahi kuona mtu mzima kijana akimpakata mama yake au akimkumbatia mama yake na kumbusu huu ni ujinga na kukosa heshima. Hawa watoto wa mboga saba sikui akili zao huwa ziko wapi, wao wanaamini kumpenda mzazi wako ni kumbeba kumbusu na kumkumbatia kumwambia nakupenda mama kweli?

Mimi binafsi kidume wa mkoani nililelewa na single mother alinisomesha kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu, Na hadi sasa mama yangu anajua ni kiasi gani namjali sipendi niskie hata akiwa na maumivu kidogo nipo tayari kufanya lolote ili mama yangu abaki kuwa salama, nikipata hata 100 nataman nitakachokula na yeye ale hichohicho. namjali mama kuliko kitu chochote kile hapa duniani. viapumbele vyangu katika maisha ni mama yangu kwanza kisha wanafuata wanangu na anafuatia mke wangu, maana pasipo kuwa yy nisingekuwepo mimi hao watoto nisingepata wala mke. Ila kwa upendo wote huo sijawahi kumtamkia mama NAKUPENDA, wala kumkukumbatia and never ever haitakaa itokee neno NAKUPENDA huwa likinijia kichwani Huwa nachukua NOTE ya elfu 10 au 20 nampa namwambia mama hii katoe sadaka kanisani, maana ninajua mama yangu addiction yake ni kanisa tu hana mambo mengine,

Cha ajabu hawa watoto waliokulia mboga saba wanawakumbatia mama zao na kuwakiss eti ndio upendo, SHUBAMIT siwezi kufanya huo ukafili mama ni mama lazima mipaka iwepo.

Then maadili ya Kitanzania ni ya Kipumbavu maana vitabu vyote vya dini vyatutaka tufanye hivyo
 
Kwa asili ya binadamu tulivyo neno nakupenda lina umuhimu wake,lina nguvu yake na lina umaalum wake ukilinganisha na matendo.

Ukimwambia mtu nakupenda hawezi kusahau kamwe lakini ukimfanyia matendo matupu kuna uwezekano wa kusahau baadhi ya matendo hayo kwa kufikiri kuwa ni wajibu wako kufanya hayo matendo.
neno hili tunalolitumia kila siku kwa madem na malaya ?? mm sijawah kumwambia mama yangu nakupenda, wala sijawah kumtamkia mtoto wangu nakupenda lkn hawajawah kuwa na doubt na upendo wangu kwao, nadhani hawahitaji hili neno ili waprove kama nawapenda.
 
Hao wanaowakumbatia,kuwapakata na kuwabusu mama zao ni watz na watu wasiofanya hayo pia ni watz. Tuvumiliane ili maisha yaendelee.
Kuna nchi za kiafrika za watu weusi,watoto huwasifia mama zao Kwa kuvaa chupi nzuri na kulana denda kabisa na yao yanaendelea bila wasiwasi wowote.
Kuna família moja pale Afrika Kusini walitaka kuniingiza ktk família yao lkn Mi ilinishinda . Kwa week lzm jumapili wakutane na wakikutana salamu ni kulana madenda,baba,mama na watoto wao(wakike na wa kiume),denda kabisaaaaaaa!
Nalog off
 
Then maadili ya Kitanzania ni ya Kipumbavu maana vitabu vyote vya dini vyatutaka tufanye hivyo
Vitabu vya dini vinavyotamka uwe unabweka ohhh nakupenda nakupenda Mungu? Ni vitabu vipi?

Biblia yenyewe inatamka wazi kabisa Yesu alisema kama mwanipenda mtazishika Amri zangu kwenye Yohana 14:15

Yesu mwenyewe na Mungu hawapendwi kwa Maneno matupu ni kwa kushika Amri zao na maamrisho yao
 
Vitabu vya dini vinavyotamka uwe unabweka ohhh nakupenda nakupenda Mungu? Ni vitabu vipi?

Biblia yenyewe inatamka wazi kabisa Yesu alisema kama mwanipenda mtazishika Amri zangu kwenye Yohana 14:15

Yesu mwenyewe na Mungu hawapendi kwa Maneno matupu ni kwa kushika Amri zao na maamrisho yao

Siwezi kukujibu maana you are not exposed to facts enough to understand , upo sahihi for your level of understanding....
 
Siwezi kukujibu maana you are not exposed to facts enough to understand , upo sahihi for your level of understanding....
Take note

You are not allowed to tell me or my family members ohhh I love you.Tell yourself and your family
 
Yaan nimwambie bi mkubwa nakupenda? Anaweza hata nirushia kipande cha ukuni pembeni yake kikaniumiza. "Hebu ntolee ujinga hapa kenge wee" (in my mama voice).
 
Acheni ungese kwani ukimkumbatia na kumpiga busu mama yako mnakuwa tayari mmeshatomb@n@?
Acheni mawazo ya kimasikini.
Siku mama yako akifa utatamani hata uende ukamkumbatie mbuzi na umpige busu.
Onesha upendo wako kwa namna unayoona inafaa kwako.
Nilivyomuelewa mwandishi Ni kwamba 'parents need real love only, and not emotional love.'
May be because emotional love mara nyingi husababisha sex organs excitement, hivyo mwandishi anaona ajiepushe na dhambi ya ku - excite organs zake mbele ya mzazi au yeyote anaemheshimu Kama mzazi,
na pengine kwa mwanaume mwenzio Kama rafiki, Kaka nk.
But to wives and the likes you can either give emotional love, real love or both..
 
Yani mama yangu nisimwambie nampenda? Ni vile tu hayupo ila hakuna kimfaacho kingekuwa kinapita katika macho yangu nisimnunulie[emoji28]!!!

Yes i mean it,,,i love my moms [emoji41][emoji41][emoji41] you may call it whatever nitamuonesha upendo wote hata kumbusu shavuni na kumkumbatia cause she deserve that kwa ujasiri wa kunibeba na kunilea toka nikiwa sijitambui.

Mke ni mpenzi tu ambaye tumekutana ukubwani ni patner katika maisha ya hapa duniani ila hatuna bond kama ya mzazi [emoji28] wangu wewe! Hata watoto tutakaozaa watampenda sana yeye sababu wana bond isiyofutika! Hilo nalitambua ndio maana natafta pesa!
Niliwahi kumwambia mama mmoja ' nakupenda' , hakuwa mama yangu,
Alikuwa Ni mtu mzima sawa na mama yangu, kipindi hicho akiwa ana approach 60s, akanijibu:
'Mtu mzima hatamkiwi mapenzi, ila anaoneshwa upendo'.
 
Nilivyomuelewa mwandishi Ni kwamba 'parents need real love only, and not emotional love.'
May be because emotional love mara nyingi husababisha sex organs excitement, hivyo mwandishi anaona ajiepushe na dhambi ya ku - excite organs zake mbele ya mzazi au yeyote anaemheshimu Kama mzazi,
na pengine kwa mwanaume mwenzio Kama rafiki, Kaka nk.
But to wives and the likes you can either give emotional love, real love or both..
Yaani kumkubatia tu mama yako ndio dushe lisimame na kuwaza ngono?
Basi huyo mtu anakuwa zwazwa.
Kumuonesha hisia sio kitu kibaya.
Tatizo watz wengi akili na mawazo yetu yapo kwenye ngono zembe zaidi ya 95%.
 
neno hili tunalolitumia kila siku kwa madem na malaya ?? mm sijawah kumwambia mama yangu nakupenda, wala sijawah kumtamkia mtoto wangu nakupenda lkn hawajawah kuwa na doubt na upendo wangu kwao, nadhani hawahitaji hili neno ili waprove kama nawapenda.
Aiseee mkuuu, nimekuelewa,
Kumbe Kuna mahali watu wanahitaji watamkiwe 'nakupenda' , ili wa'prove' upendo walioutilia mashaka...!
 
mwamba uko sahihi.....haya mambo ya kuiga kuiga haya.....tunatengeneza kizazi cha hovyo sana.....kijana wangu nilimsikia akimwambia mamake,,,,ikabidi nimpe somo...waafrika hatuna hizo .....WABANTU sisi......
 
Yaan nimwambie bi mkubwa nakupenda? Anaweza hata nirushia kipande cha ukuni pembeni yake kikaniumiza. "Hebu ntolee ujinga hapa kenge wee" (in my mama voice).
duh mkuu hata sijui naanzaje kutamka huo utopolo asee mama anaweza kufunga mwaka bila kula akinipigia maombi na vile mama ni mtu wa dini hapa lazima hilo pepo la kizungu linakimbia jenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anayo namna yake ya kuonyesha upendo . Waache watu wapendane tu na mama zao kwani malezi na familia tulizotokea zina mitazamo tofauti.
 
Kuna namna
Take note

You are not allowed to tell me or my family members ohhh I love you.Tell yourself and your family
kuna namna Una matatizo; jaribu kuongea na watu wa karibu unaowaamini wakusaidie.
 
Back
Top Bottom