MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hili swali umeuliza ukiwa umevuta bangi? Kuna mtu anayezaliwa bila mama? Fikiri kabla ya kuuliza.Nakuuliza swali jepesi mkuu nategemea utalijibu?
Wewe hujazaliwa na mama yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali umeuliza ukiwa umevuta bangi? Kuna mtu anayezaliwa bila mama? Fikiri kabla ya kuuliza.Nakuuliza swali jepesi mkuu nategemea utalijibu?
Wewe hujazaliwa na mama yako?
Vizuri.Hili swali umeuliza ukiwa umevuta bangi? Kuna mtu anayezaliwa bila mama? Fikiri kabla ya kuuliza.
Wewe ni MAMA'S BOY.. Namwombea sana huyo shemeji kwa sababu ya kuolewa na mtoto wa mama.
let your son hug you mamaaMy daughter is always telling me, NAKUPENDA SANA MAMA, is she wrong, acheni hizo
ni kweli kka na mada yangu nazungumzia mwanaume kwa mama au binti kwa baba ila wamenielewa tofautSiku nikienda mkumbatia mama na kumwambia nakupenda,aisee kwanza siwezi na hata yeye ataona kuna tatizo sehemu atahisi nimelewa walai ataingia maombini kuniombea.
Suala la kuwa nampenda anajua vzr tu.
your doughtor but not your sonMy daughter is always telling me, NAKUPENDA SANA MAMA, is she wrong, acheni hizo
blessed mkuu kwa kweli utakuta toto kila siku ilove you mama cha ajabu hata likitumwa kidogo lianakataa which kind of love portrayed hereAcha uzungu wewe
Kiafrika Love is not a word it is a deed
Huyo binti yako ukimtuma kitu anakutii, je anakusikiliza na kuzingatia maagizo na ushauri wako ?
Kelele za I love you I love you ni empty noise za kizungu za mitoto inayosoma English medium
Mitoto unakuta kutwa halisikii au dume Koko halisikii lakini kutwa kelele ohh my queen you are my voucher ,my watsapp etc I love you .Ujinga mtupu
Waafrika tunaamini Love is not a word it is a deed .Maneno matupu hayana maana yeyote kwenye mapenzi ya kiafrika
Hayo Maneno ya I love you mummy my best Instagram mwambie akawaambie wazungu na wanaosoma naye English medium .Mwambie nilikutuma kuosha vyombo au kudeki hukufanya hiyo Kelele yako ya I love you kwa lipi hasa wewe kibwengo?
to be honestly nipo tayari kuitwa mtoto wa mama maana pia kiasili sio tusi bali ndo ilivyo, ninaamini bila wazazi nisingekuwepo leo itakuwa ngumu kuniaminisha kuwa mke ni mhimu kuliko mzazi kwa hilo kwangu sitakaa nibadilike hata siku mojaMkuu YEHODAYA umefafanua vema. Kumwambia mzazi wa kiafrika NAKUPENDA sio kosa kisheria ila ni kosa kiutamaduni. Kumkumbatia na kumpiga busu ni hatua nyingine kubwa ya uvunjifu wa maadili. Kwa mfano mababa wa kiafrika hadi kuja kuzoeleka japo kidogo ni ule muda ushamaliza chuo na kuanza kazi. Sasa utaanzaje kumpa hizo pigo za I LOVE YOU DAD?... Sema mleta uzi umechemka sana kusema mama ni namba moja kisha watoto wako halafu mke ni wa mwisho. Huna tofauti na hawa unaowalaumu. Wewe ni MAMA'S BOY.. Namwombea sana huyo shemeji kwa sababu ya kuolewa na mtoto wa mama.
Upo serious mkuu au just a joke??Baada ya kuoa mke ndio anakuwa namba moja wakifuata na watoto,izo akili za kumweka mama namba moja ni za kitoto
mzazi anapendwa kivitendoNeno hilo halipaswi hata kutumika kwenye utani
ninahisi alieandika ni mwanamke labda tu nitoe rai kuwa mke wangu ni ruksa kumpenda mama yake kuliko mimi au kuliko ndugu zangu wala simuingilii kwa hilo maana mimi binafsi tumekutana ukubwani sjui profile yoyote aliyopitia na wazazi wake, kwa hiyo hilo na kwangu hata ikitokea mwanamke aniulize pengine kwa kujaribu au kwa kumaanisha kuwa yeye na mama yangu ninampenda nani nadhani hapohapo ndio nitamuandikia majibu ambayo ni talaka 5 hata kama hazipo ila yeye nitaztoa kwa mara ya kwanza, huwezi kumtanguliza mke ambae mmekutana ukubwani na kumuacha mama yako ambae amekuzaaUnaona sasa?
kila mtu anadhani yupo sahihi sababu ya tofauti ya kimalezi na tamaduni.
Mimi kwangu mama kwanza kwenye kila kitu.
Pia hili neno mtoto wa mama mnalitumia vibaya sababu watoto wote ni wamama au kuna mtu amezaliwa na baba yake humu?
Mtu anayeona kuwa mtoto wa mama ni vibaya basi bila shaka hana akili.
Mimi nasema wewe unaendeshwa na mkeo hivyo ni zoba sababu mwanaume anatakiwa awe na misimamo.
Sasa nani yupo sahihi hapa?
Ndio maana ni vizuri kila mtu kubaki na opinions, perspectives zao.
Mkuu ni kawaida kwa watoto wa kiume kuwapenda mama zao kuliko hata wake zao, wanawake wanawapenda kaka zao kuliko hata wapenzi walonao! wahenga walisema mke wako sio ndugu yako, ila watoto wako ndo ndugu zako. Walisema hivo ili kuziokoa nyoyo za wanaume.Mkuu YEHODAYA umefafanua vema. Kumwambia mzazi wa kiafrika NAKUPENDA sio kosa kisheria ila ni kosa kiutamaduni. Kumkumbatia na kumpiga busu ni hatua nyingine kubwa ya uvunjifu wa maadili. Kwa mfano mababa wa kiafrika hadi kuja kuzoeleka japo kidogo ni ule muda ushamaliza chuo na kuanza kazi. Sasa utaanzaje kumpa hizo pigo za I LOVE YOU DAD?... Sema mleta uzi umechemka sana kusema mama ni namba moja kisha watoto wako halafu mke ni wa mwisho. Huna tofauti na hawa unaowalaumu. Wewe ni MAMA'S BOY.. Namwombea sana huyo shemeji kwa sababu ya kuolewa na mtoto wa mama.
Safi kabisa! Nami, kama wewe, naungana na mtoa mada. Mimi hata kula sahani moja na dada zangu au mama siwezi aisee. Utaratibu wetu ni kuwa ndugu wa kiume wanaweza kula na ndg wa kiume wenzao na wa kike wanaungana na wa kike wenzao. Kutofanya hivyo ndo mwishowe tunayaona haya tunayoyaona.......watoto wa kiume wanafikia hatua ya kutwerk, wanafanya twerking!!!!!!Hata mimi siwez mwambia hayo mambo.Sio yeye tu hata dada zangu na watoto wangu wa kike siwez kufanya huo upumbavu.Ila wataona kwa vitendo tu
Mimi hapa ndio huwa mnanichanganya sana....! Unamlinganishaje mke na mama?? Yaani ni kama ulinganishe meli na treni vyote ni vyombo vya Usafiri ila kamwe huwezi kuviweka katika mizani sawa....! Ukianza habari za kuanza kuwalinganisha mama na mke lazima maisha ya kijamii yatakushinda tu....! Maana unalinganisha watu ambao hawawezi kuwa sawa kamwe.ninahisi alieandika ni mwanamke labda tu nitoe rai kuwa mke wangu ni ruksa kumpenda mama yake kuliko mimi au kuliko ndugu zangu wala simuingilii kwa hilo maana mimi binafsi tumekutana ukubwani sjui profile yoyote aliyopitia na wazazi wake, kwa hiyo hilo na kwangu hata ikitokea mwanamke aniulize pengine kwa kujaribu au kwa kumaanisha kuwa yeye na mama yangu ninampenda nani nadhani hapohapo ndio nitamuandikia majibu ambayo ni talaka 5 hata kama hazipo ila yeye nitaztoa kwa mara ya kwanza, huwezi kumtanguliza mke ambae mmekutana ukubwani na kumuacha mama yako ambae amekuzaa
Sent using Jamii Forums mobile app