milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Lux Mundi - Light of the World"Mbowe Must Go"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lux Mundi - Light of the World"Mbowe Must Go"
Ikungi hukuna serikali huko??? Lissu na maji wapi na wapi???? Hiyo ni kazi ya serikali sio lissu!Ikungi Hadi Leo hakuna maji safi na salama,hakuna Barabara!
Alikuwa mbunge kule!
Hata hivyo tumechelewa kuwa hivyo na mimi napenda TL apewe ili nchi ya TANGANYIKA irudi na ichangamke.Subir apewe TL uone mtakavyo buruzwa barabarani kudai haki na katiba mpya...
Kama majibu ni hayo! Uwenyekiti asahau.Ikungi hukuna serikali huko??? Lissu na maji wapi na wapi???? Hiyo ni kazi ya serikali sio lissu!
Mbowe anautamani bado uenyekiti...Yaani Mbowe anafanya watu ni watoto, uvamiwe na wapenzi wako wakute hadi viti vya kukaa nyumbani kwako?!
Sasa housegirl n chap tuu kupandishwa cheo na baba mwenye nyumba kama akiwa mtaamu, ww c unaona vile Erythrocyte alivyo mtaamu unaweza kumla ht kwa machoKashapanda cheo na kuwa mke? Mara ya mwisho nilikuwa najua ni housegirl.
Hii clip haihusiani na lile kundi la watu lililoingia kwa Mbowe likimtaka achukue fomu.Aisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.
Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.
Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
tuliza fuvu wewe hujui siasa hapo ndiyo zimekolea sasa wachas wachambuane kama karanga wewe kakojoe ukalaleHii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
hahaaaa yaaniu mpaka hii clip mnaikataa? mmeliwaaa mbowe kajichanganya hapo uongo wa kitoto kabisaHii clip haihusiani na lile kundi la watu lililoingia kwa Mbowe likimtaka achukue fomu.
Hakuna udhibitisho.!!
Huu ni ukweli mchungu kwa Lissu na genge lake. Uchaguzi ni wapiga kura. Lissu hana connection na wapiga kura. Watu wa mtandaoni huwa hawapigi kura zaidi ya makelele.Mbowe anamgaragaza Lisu mapema sana
Mbowe mtu hatari sana, yeye ndiye kawateka hawa akina Soka baada ya kuonekana Wana Nia ya kuleta mababddiliko ktk chama. Imefahamika.Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa
Sasa nilikuwa sijakuelewa! Nimekuta ninachat na la saba!
Nitasema wazi kwamba siwezi kuamini kwamba Tundu Lissu atashinda uchaguzi wa uenyekiti wa Chadema.
Kwa maoni yangu, nafasi yake inaonekana kuwa na changamoto nyingi, na kuna maswali mengi kuhusu uwezo wake wa kuweza kuongoza chama hiki kwa mafanikio.
Chadema ni chama chenye historia ndefu na kina wanachama wengi wenye maono tofauti, na ni muhimu kwa kiongozi kuweza kuunganishwa na kila mmoja wao.
Ikiwa Lissu atafanikiwa katika uchaguzi huu, nitahitaji kufikiria upya msimamo wangu kisiasa.
Nimekuwa nikihusishwa na Chadema kwa muda mrefu, lakini kama kiongozi atakayechaguliwa hawezi kuleta mabadiliko chanya, nitakuwa na sababu ya kuhama na kujiunga na CCM.
Ninatazamia kuona mabadiliko na nguvu mpya katika uongozi wa Chadema, lakini kama hali itabaki vile vile, nitajikuta katika nafasi ya kutafuta chama kingine ambacho kinaweza kufanikisha malengo yangu ya kisiasa.
Hivyo basi, nasubiri kwa hamu kuona matokeo ya uchaguzi huu na athari zake kwa mustakabali wa siasa nchini.
😂 😂 😂 😂 Mwamba katoa boko sana yaniYaani Mbowe anafanya watu ni watoto, uvamiwe na wapenzi wako wakute hadi viti vya kukaa nyumbani kwako?!
Na dada mmawiaNgoja mke wa mbowe Mrs Erythrocyte aje atolee maelezo mana anamjua huyo mwanaume wake vzr
CHADEMA kimelaanika.
Washapewa chao, Wakimaliza wanapiga mchele wanapita hivi......Tulichelewa sana kuyajua haya. Amewaita na kila mmoja ataondoka na bahasha au muamala.
😆😆Aisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.
Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.
Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.