Kumtetea Mbowe ni vigumu. Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi

Kumtetea Mbowe ni vigumu. Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi

Jamani si alisema hakufahamu lolote alizuia hata kutoka nje mpaka eti akahoji "hata nje nisitoke nimekuwa mwali?" 🤣 🤣 🤣 ona Sasa mzee wa watu hajui kusema uongo.
 
Aisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.

Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.

Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
Hii clip haihusiani na lile kundi la watu lililoingia kwa Mbowe likimtaka achukue fomu.
Hakuna udhibitisho.!!
 
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa au kuiambia serikali ieleze uchunguzi wa mauaji ya Mzee Kibao ymefikia wapi..kungekuwa na tija sana! na hapo ndio mlicho nacho kichwani mwenu kinaonekana mko upande gani na mna lengo gani..!
tuliza fuvu wewe hujui siasa hapo ndiyo zimekolea sasa wachas wachambuane kama karanga wewe kakojoe ukalale
 
Hii clip haihusiani na lile kundi la watu lililoingia kwa Mbowe likimtaka achukue fomu.
Hakuna udhibitisho.!!
hahaaaa yaaniu mpaka hii clip mnaikataa? mmeliwaaa mbowe kajichanganya hapo uongo wa kitoto kabisa
 
Mbowe anamgaragaza Lisu mapema sana
Huu ni ukweli mchungu kwa Lissu na genge lake. Uchaguzi ni wapiga kura. Lissu hana connection na wapiga kura. Watu wa mtandaoni huwa hawapigi kura zaidi ya makelele.
 
Hii nguvu na muda mnaotumia kuongelea uchaguzi wa chadema..mngetumia kuiambia serikali iwarudishe Soka, Mbise, Chaula na wengine waliotekwa
Mbowe mtu hatari sana, yeye ndiye kawateka hawa akina Soka baada ya kuonekana Wana Nia ya kuleta mababddiliko ktk chama. Imefahamika.
 
Sasa nilikuwa sijakuelewa! Nimekuta ninachat na la saba!
Nitasema wazi kwamba siwezi kuamini kwamba Tundu Lissu atashinda uchaguzi wa uenyekiti wa Chadema.

Kwa maoni yangu, nafasi yake inaonekana kuwa na changamoto nyingi, na kuna maswali mengi kuhusu uwezo wake wa kuweza kuongoza chama hiki kwa mafanikio.

Chadema ni chama chenye historia ndefu na kina wanachama wengi wenye maono tofauti, na ni muhimu kwa kiongozi kuweza kuunganishwa na kila mmoja wao.

Ikiwa Lissu atafanikiwa katika uchaguzi huu, nitahitaji kufikiria upya msimamo wangu kisiasa.

Nimekuwa nikihusishwa na Chadema kwa muda mrefu, lakini kama kiongozi atakayechaguliwa hawezi kuleta mabadiliko chanya, nitakuwa na sababu ya kuhama na kujiunga na CCM.

Ninatazamia kuona mabadiliko na nguvu mpya katika uongozi wa Chadema, lakini kama hali itabaki vile vile, nitajikuta katika nafasi ya kutafuta chama kingine ambacho kinaweza kufanikisha malengo yangu ya kisiasa.

Hivyo basi, nasubiri kwa hamu kuona matokeo ya uchaguzi huu na athari zake kwa mustakabali wa siasa nchini.
20241219_140130.jpg
 
Sasa alichofanya Lissu kukodi ukumbi mlimani city ndo sawaaa ?? Kuwasafirisha wapambe wake toka mikoani ndio sawa ?? kapata wapi pesa ?? Na atazirudishaje ? Eti kamuwahi Mbowe kutangaza kuwa anagombea uwenyekiti ili aachiwe huyu jamaa hana akili kumbeee !
 
Aisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.

Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.

Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
😆😆
 
Back
Top Bottom