Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwongo mtupu. Lisu ndiye iyeitoa TLS kutoka kwenye pingu za Serikali, na ndiye aliyeipandisha hadhi kiasi cha hata wasio wanasheria kuitambua vizuri, na kuijua nguvu yake.Serikali unayoisemea juzi imewapa TLS gari la dhamani ya +300 million.
Lissu alizalisha migogoro tu
Mzee hakusoma vizuri script, ama kasahau.Aisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.
Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.
Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
Huyo ni mwanajangwani au Lucas MwashaAisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.
Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.
Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
Labda alitengenezewa na mamlukiMzee hakusoma vizuri script, ama kasahau.
Nimecheka sana.
Sio maagizoKila kinachofanyika n planned,..hata lisu kubadilisha nafas anayogombea sio kuwa alikurupuka,..inaonyesha kabisa n maagizo..kuwachangany tu
Unajibishana na mtu anayeandika "gari yenye dhamani" badala ya thamani, hujagundua unajibishana na nani?Serikali haiwezi tumia TLS kama chombo chao kama Lissu akiwa kiongozi, Lissu ni mtu na nusu, hakika hapa Chadema imepata mwenyekiti
Subir apewe TL uone mtakavyo buruzwa barabarani kudai haki na katiba mpya...
Kila Nilipokuwa Nikitaka Kung'atuka Walikuwa Wakiniambia: 'Mwalimu Endelea Tu, Hii Nchi Ni Changa Na Umeitoa Mbali. Nchi Hii Haitaendelea Bila Wewe'. Nami Niliiendelea Hadi Pale Nilipokuja Kugundua Kumbe Nchi Changa Waliyoiongelea Ni Familia Zao.” :-Mwl. Julius Kambarage NyerereSikumbuki kumuona Lussu kwenye maandamano yeyote ya Chadema zaidi ya Yale yaliyokuwa yamruhusiwa na Samia.
Hao wapiga kura watakuwa ni wajinga sn, hawana akili wote!!.Walioko Jf, 80% sio wapiga kura siku ya uchaguzi wa Chadema!
So walioko nje ya Jf, ndio wapiga kura.
Mbowe atamshinda Lissu mapema asubuhi!
Kaa kimya wewe. Huna unalojuaHivi kwani kuna mahali ameomba kutetewa?
Kama Lissu hakufanya chochote kwa miaka yote akiwa Makamu Mwenyekiti ilikuwaje akapendekezwa na Chadema kugombea kuwa Rais?Yule ni mtu mwenye tamaa! Umakamu mwenyekiti,miaka yake yote ,hajafanya chochote.
Robert Amsterdam,ana msaidia KESI ya tigo!
Huku anatafuta kushindwa uchaguzi akimbilie Belgium
Profesa Lipumba achaguliwa tena mwenyekiti CUF, aweka historiaNi wakati muafaka sasa wa mzee Mbowe kupumzika
"Mbowe Must Go"
Labda, tuseme milele amina.Walioko Jf, 80% sio wapiga kura siku ya uchaguzi wa Chadema!
So walioko nje ya Jf, ndio wapiga kura.
Mbowe atamshinda Lissu mapema asubuhi!
Kashapanda cheo na kuwa mke? Mara ya mwisho nilikuwa najua ni housegirl.Ngoja mke wa mbowe Mrs Erythrocyte aje atolee maelezo mana anamjua huyo mwanaume wake vzr