Kumtetea Mbowe ni vigumu. Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi

Kumtetea Mbowe ni vigumu. Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi

Aisee kumtetea huyu mmiliki wa CHADEMA ni kazi ngumu sana. Haina tofauti na kuwatetea single maza na polisi.

Igizo lake alilofanya leo lina makosa mengi sana ya kiufundi kiasi kwamba wapinzani wake wamepata nafasi ya kumdhihaki.

Nawatupia lawama timu yake yote kwa kushindwa kuweka jambo la leo lionekane lenye uhalisia. Hii clip inayosambaa ndo imekuwa chumvi kwenye kidonda.
Washauri wenyewe akina Erythrocyte na Retired unategemea nini
 
Toka lini makamu akawa na nguvu kuliko mwenyekiti? muda umefika sasa kuwa mwenyekiti ili mipango yake ikafanye kazi kwenye chama, wakati wa Lissu ni sasa
TLS kule Kuna kitu alifanya au kubuni!
 
Ikungi Hadi Leo hakuna maji safi na salama,hakuna Barabara!
Alikuwa mbunge kule!
 
Kule wapi? Lissu yupo Chadema sasa ni wakati wa kuwa top leader ili mawazo yake yakafanye chama kurudi kwenye makali yake , sasa hivi Chadema imekuwa ziiiiiiiii
Aliwahi kuwa Rais wa TLS,aliweza kufanya nini Cha maana kuisaidia TLS?
 
Sasa yeye ndio mwenye serikali ? yeye kazi yake ni kusemea wapiga kura wake ila wenye fedha ni serikali sio Lissu, amesha sema sana kama serikali haitaki kuleta maji unataka Lissu afanyaje? acha kutoa lawama za serikali kwa Lissu
Lissu hajielewi tangu apigwe risasi!
Muhimu apambane na Tigo!
Kwenye chama anakosa bara na Pwani!
 
Back
Top Bottom