Mbona hueleweki ? , alipigwa risasi na akapitishwa na Chama kuwa mgombea wa Urais wa nchi, kwahiyo kama hajielewi kwa kupigwa risasi basi chama cha chadema wote hawajielewiLissu hajielewi tangu apigwe risasi!
Muhimu apambane na Tigo!
Kwenye chama anakosa bara na Pwani!