Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kuna jambo tunashindwa kuelewana.Utumiaji wa maneno na uchaguzi wa sehemu ya matumizi ni changamoto.Kuna maneno mimi nayatumia kwa ukawaida wake Ila wewe utadhani ni vinginevyo.Hoja kwa hoja ni sawa, ila sio hoja kwa matusi,
Tatizo wengi wanamtukana mh rais matusi ya nguoni, hivi hata kma unadai ni sahihi?
Serikali inasema mkataba bado, watu wamekazana nchi imeuzwa, ooh miaka mia, oooh milele halafu wanafatisha matusi ya nguoni kwa rais, hawa nina asilimia zote sio watanzania
Ili na mie nitukane?Ebu taja tusi moja la nguoni
Nilijua tu wavaa shungi lazima mje na hoja ya udini.WIvu na udini ndio unawasumbua baadhi ya watu..wala tusizunguke!
Kamwambie kama unaona ni maneno mazuri.Kwani ushawambia wako?
Naona leo chawa mmemwaga huku mitandaoni na wote mna uzi wenye maudhui sawa! Mlipaswa kujitokeza wakati viongozi wa nchi hii wanapatikana kwa kupora chaguzi zetu. Mnaingia madarakani kwa njia chafu kuliko matusi, kisha mnataka heshima baada ya kupora chaguzi.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Hayo matusi aliyotukanwa chief mangungo ntukane mm nimejitolea ili niyajueIli na mie nitukane?
Mimi ni mtanzania originally, siwezi hata kutukana kwa sasaHayo matusi aliyotukanwa chief mangungo ntukane mm nimejitolea ili niyajue
Wivu wa cheo cha urais wa Tanzania kwani ni urais wa Marekani? Udini kwani hiyo bandari inauzwa ili iletwe dini gani?WIvu na udini ndio unawasumbua baadhi ya watu..wala tusizunguke!
Ni kawaida si mmekataza watu kuandamana.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
watu watoe maoni bila kumtukuna mtu.Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Raisi chukua hatua Kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Akivua miwani ya ujinga uenda atasema jina Sahihi.Na mtu anayechukua mali yako bila ruhusa na kuiuza mleta uzi atuambie tumuite nani?
Hoja kwa hoja ni sawa, ila sio hoja kwa matusi,
Tatizo wengi wanamtukana mh rais matusi ya nguoni, hivi hata kma unadai ni sahihi?
Serikali inasema mkataba bado, watu wamekazana nchi imeuzwa, ooh miaka mia, oooh milele halafu wanafatisha matusi ya nguoni kwa rais, hawa nina asilimia zote sio watanzania
[/QUOTE
Basi tufanye baadae au sio??Mimi ni mtanzania originally, siwezi hata kutukana kwa sasa
Unaona sasa unavyoyukana? Hakuna mtanzania wa hivi?Hata mamaako alitukanwa labour akiwa anakuzaa wewe, kutukanwa ni kawaida.
Au ulizaliwa machakani huko?
Tatizo liko hapo.Hao watu wanashida sana , wanaulizwa mkataba ni wa muda gani kimya? Wanaulizwa kwa nini mgawe kwa mtu mmoja bandari zote za bahari na bandari za maziwa makuu kimya? Wanaulizwa mnaona mlichosaini kina faida kwa nchi hawajibu, wanakimbilia oohh kwakua mzanzibar haya kama mnajua ni mzanzibar kwa nini ayafanye hayo sehemu ambapo sio zanzibarutasikia ooohhh ni udini wanaulizwa kwani dini inaingiaje kwenye bandari wako kimya hawa jamaa wa ajabu kwelikweli
Mleta mada NI mrupukaji, sijui labda anajua JF ni ya kama anavyofikiria yeye tu au labda ni ya watu wasiijielewa upstairs au labda kujipendekeza kwa bi mkubwa?🙄🤔Hizi ndizo tafsiri za neno uhaini
1. Tendo la kusaliti nchi yako, mipango ya kupindua serikali
2. Tendo la kuvunja mkataba au kufanya jambo kinyume cha lile ambalo uliahidi kwa mfano kula amana ya mtu
Katika tafsiri zote mbili kwa mujibu wa kamusi ya kiswahili, sioni hata moja inayoendana na tuhuma ulizozitaja...