Kumtukana Rais Samia hadharani ni uhaini

Kumtukana Rais Samia hadharani ni uhaini

Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Acheni mtukuza mtu , rais ni binadam kama wewe na mimi ,acheni upumbavu wa kutukuza mtu kama mungu vile
 
Hujaweka namba za simu. TUSI liko wapi?
Tena hawa watu wawe wanaweka namba ya simu ili watambuliwe na watoa vyeo, lakini hata picha zao nasi mitaani tuwatambue ili tuweze nasi kuwazawadia wanachostahili
 
Uongozi ni gharama zenyewe ndio hizo huwezi kubalika na wote maana nchi si mali binafsi
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Haini ni yule anayeuza rasilimali za Taifa!
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Samia amefanya kazi kubwa sana kuikuza nchi kisiasa na kijamii na kujenga uchumi kwa kumaliza miradi iliyoanzishwa na mtangulizi wake.

Tuendelee kumkosoa kwenye suala la Bandari na DP WORLD kwa staha lakini tusimkosee heshima kwa matusi na dharau.

Tanzania bado iko mikono salama chini ya Samia kwa hii miaka 3 kuliko ilivyokuwa kati ya 2015 -2021
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Mbona hujaainisha hayo matusi na huo udhalilishaji? Ili ueleweke ainisha hayo hapa!!
 
WIvu na udini ndio unawasumbua baadhi ya watu..wala tusizunguke!
Kuna watu baadhi ni mataahira sana, wakati Magufuli anapingwa hadi kufikia akina Tundu Lissu kupigwa risasi akina Ben saa nane kupotezwa watu kutekwa dini ya Magufuli haikuwa na maana hamkusema Magufuli anapata upinzani kwa sababu ni Mkristo Leo Samia akipingwa kwa kuuza bandari za Tanganyika kwa wajomba zake tumchekee kwa kuwa inapingwa dini yake na sio Samia.
Huu ni ujinga wa hali ya juu sana na ndio mtaji wa ccm.
 
Uhuru usio na mipaka ni uhaini.

Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.

Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.

Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.

Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.

cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Ukikataza rais kutukanwa hadharani, unaukaribisha mipango ya kumuua rais kwa siri.

Usifikiri nchi zilizoendelea ni wajinga kuweka uhuru mkubwa wa kutukana viongozi.

Usifikiri wameweka uhuru huo kwa sababu wanapenda tu watu kuwa huru.

Uhuru huo umewekwa kwa falsafa kubwa.

Watu waliopewa uhuru wa kuongea, mara nyingi hupata nafasi ya ku let off steam kwa kuongea, hawaendi kufanya mapinduzi ya nguvu. Wanatumia njia za kidiplomasia za mazungumzo zaidi.

Watu wanaonyimwa uhuru wa kuongea huishia kupanga mipango ya kupindua serikali na kuua viongozi.

Na kadiri serikali inavyominya uhuru wa kujieleza, ndivyo inavyozidi kujizuia yenyewe kwenye vyanzo vya kupata habari kuhusu mipango dhidi yake.

Leo hii ukienda Clubhouse watu wa upinzani na wanaharakati wana uhuru wa kuongea, wanaongea mpaka wanajisahau wanapanga mikakati yao nyeti online, mpaka ma shushushu wa serikali wanawasikiliza.

Serikali ikifungia Clubhouse, hata majasusi wa serikali na wapelelezi wa polisi watakosa chanzo hicho cha habari kwao.

Kwa hivyo, unaweza kuona kufungia uhuru wa kujieleza ni jambo zuri katika kuendeleza order, lakini kwa kweli, in a very counterintuitive way, ukifungia uhuru wa kujieleza, unainyima hata serikali nafasi ya kujua kinachoendelea.

Usiwaone Wamarekani na Waingereza ni wajinga kwa kuruhusu uhuru wa kujueleza na kumtukana rais sana bila hofu.

Wanajua wanachofanya.

They are olaying the long game.

They are playing chess, not checkers.

Lese-Msjeste laws are an indult to press freedom and freedom of expression.
View attachment 2682727
 
Back
Top Bottom