cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ila Nape jaman khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Nape jaman khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hasa hiyo ya 1 ndo inamgusa mtu wake kabisaa.Sanasana zote zinamgeukia anayesemwa kutusiwa.
Mnajua uhaini ni nini au mnasa tu?Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Je kuuza bandari za nchi sio huainiUhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Washughulikiwe Ili wawe na adabu wapuuzi wakubwa hao.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
We Kenge kwerikweri.mtu anauza bandari Kwa nini asitukanwe.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Acha mambo ya hovyo. Unategemea waiuze nchi na kupewa risiti kama bidhaa dukani!! Ongeza ufahamu ndg! Rasilimali za nchi wanapewa raia wa nje kwa bei za 10%Wapi nchi yetu ilipouzwa na kwa shillingi ngapi? Acha kukaririshwa maneno ya uongo Kama kasuku.
Kasome katiba kuhusu uhaini wewe. Kumkosoa rais si uhainiUhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Kama kuna shida peleka mahakamani, siyo kuua!Washughulikiwe Ili wawe na adabu wapuuzi wakubwa hao.
Naingezea msumari wa inch 7 mkuuIla kuuza nchi yetu sio uhaini??
Acha kujipendekeza pendekeza mtoto wa kiume.
Mahakamani ni Kwa Wananchi sio SerikaliKama kuna shida peleka mahakamani, siyo kuua!
Ndo matatizo yenu masuala ya kitaifa unaingiza Dini.KAFIRI katika ubora wako
Nonsense, uchawa utawaponza. Hizo kelele unazoziita matusi kwa wazalendo zina maana sana kuliko ninyi wachumia tumbo mliohongwa.Uhuru usio na mipaka ni uhaini.
Kuna kundi la wanasiasa, wanasheria, na baadhi ya viongozi wa dini,wanaojiita wanaharati wamegeuza uhuru wao wa kutoa maoni na kuwa jukwaa la kutoa matusi na kijaribu kumdhalilisha mh. Raisi.
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni. Pia vyombo vya habari na mitandao ambavyo huandika matusi vipelekwe Baraza la habari kujieleza.
Watu watoe maoni bila kumtukuna mtu. Narudia uhuru usio na mipaka ni utumwa.
Sisi pia ni wananchi Tunakuomba Mh Rais chukua hatua kwa wanaokutusi najua hua unapitia hapa ni matumaini yangu tutaona hatua zikichukuliwa kwa haraka.
cc waziri wa mambo ya ndani
cc IGP
cc waziri wa habari
Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaouza Mali na raslimali za Taifa kwa maslahi yoa binafsi,huku wakileta ubaguzi wa ubinafsishaji wa bandari za Tanzania huku wakiacha baadhi ya bandari zingine za Tanzania Ni ubaguzi mkubwa mno kuwahi kutokea.Ninaomba mamlaka husika ziingilie kati na kuwachukulia hatua wanaotoa matusi Kwa kisingizio Cha kutoa maoni.
Mjinga ni mtu anaweza kuelimishwa lakini mpumbavu ni mtu asiyejitambua kabisa
Uking'olewa kucha na meno bila ganzi ndio utajua kuwa ni kosa.
Hakuna anayechukua mali yetu na kuiuza, tatizo ni uelewa kuwa mdogo. Na lenyewe huwezi kuliita tatizo kwani njia za kuukuza uelewa zipo kila mahali.Na mtu anayechukua mali yako bila ruhusa na kuiuza mleta uzi atuambie tumuite nani?