Mr HEISENBERG
Senior Member
- Sep 6, 2017
- 149
- 133
NCHI YA MUCH KNOW(TZ)Mmh! Nchi hii ina wataalamu wa mambo mengi. Naona kama ni mimi tu ndio nimekaa kibwege bwege.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NCHI YA MUCH KNOW(TZ)Mmh! Nchi hii ina wataalamu wa mambo mengi. Naona kama ni mimi tu ndio nimekaa kibwege bwege.
Yani kila mtu ni mtaalamu. Sijui chanzo ni Novel na Movie.NCHI YA MUCH KNOW(TZ)
Mkuu lakini wewe ni Ngariba 1?Mmh! Nchi hii ina wataalamu wa mambo mengi. Naona kama ni mimi tu ndio nimekaa kibwege bwege.
Ngariba ujasiri wangu ni wa kukabiliana na mkojo tu. Sasa wenzangu humu naona wabobezi wa kila jambo.Mkuu lakini wewe ni Ngariba 1?
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu
Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo
Unaaminije hili liziro serial killer ni form four leaver na sio level zingine kama primary, madrasa na kadhalika?Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.
How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.
Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort
2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.
3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.
Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.
Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.
★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.
Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.
Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.
How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.
Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort
2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.
3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.
Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.
Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.
★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.
Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.
Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.
Sijaamini kama ni wewe au msichana wa kazi ametoa hii comment.Naomba radhi Mkuu ila kwa maelezo yako haya yaliyojaa ufundi na mbinu za hali ya juu kabisa za Kimedani nashawishika kusema kwamba yawezekana Wewe ndiyo uliyetutesea Tundu Lissu wetu hadi sasa yupo Jijini Nairobi nchini Kenya akiokoa maisha yake.
Naona sasa zile ' albadiri ' zinaanza kufanya Kazi na mnajitokeza wenyewe kutusimulia kile mlichokifanya pale Dodoma.
Sijaamini kama ni wewe au msichana wa kazi ametoa hii comment.
Ila kwakuwa ni Sunday ~ drinking day you know!
Ntakuacha mpaka kesho nikusikie tena.
Inaonekana dereva ni a well trained fighter.
Mkono kwa mkono wale wauaji wangekunya.[/QUOT
That guy ni martial art professional alijua kipi akifanye kumuokoa bosi wake
MTU ukibanwa tu mkojo inakuwa shida unakojoa ndio baadaye unagutuka kumbe watu wanakuona sasa mtutu mmmmmh Giza utaona juaWangemtext mkewe angekuja na bunduki?
Duuuh, yamekuwa hayo tena!Naomba radhi Mkuu ila kwa maelezo yako haya yaliyojaa ufundi na mbinu za hali ya juu kabisa za Kimedani nashawishika kusema kwamba yawezekana Wewe ndiyo uliyetutesea Tundu Lissu wetu hadi sasa yupo Jijini Nairobi nchini Kenya akiokoa maisha yake.
Naona sasa zile ' albadiri ' zinaanza kufanya Kazi na mnajitokeza wenyewe kutusimulia kile mlichokifanya pale Dodoma.
Still you are of the same thinking kama jana au upo sober leo?Ila Mkuu sasa ilikuwaje pamoja na kupiga zile risasi zote sijui 28 hadi 32 lakini ' Kipenzi ' chetu bado yu hai huko Nairobi? Sasa nimeamini kuwa ' albadiri ' huwa haimuachi Mtu salama na tuliambiwa kuwa tutaanza kuona dalili na ' Wasiojulikana ' wenyewe wataanza kujihisi, kujitokeza na kuanza kutoa Siri zao na uzoefu wao hasa wa Kimedani za Kimafia.
Tu wawili Mkuu. Wewe. Na Mimi.Mmh! Nchi hii ina wataalamu wa mambo mengi. Naona kama ni mimi tu ndio nimekaa kibwege bwege.
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu
Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo
Ni funzo kwa wasomaji pia kuwa na uwezo wa kudect mambo na kuamua kwa haraka sana.Naona kama vile unawashauri ili siku nyingine wasikosee!!! Ni kama vile unasikitika kwa kosa walilofanya...la kumkosa!!!!
Pole, ndio mambo ya Mungu.