Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Kumu 'ignore' dereva wa Lissu lilikuwa kosa kubwa sana la 'watu wasiojulikana'

Acha roho mbaya wewe, kwa hiyo ulitaka dereva auawe. Sheeeesh!!!
 
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo

Wewe mbona unaonekana kama bwege? Dakika 20 hawakufanya kitu? hiyo kupanga, kulaza viti, kuwatumia msg watu wengine kuwa kuna watu wanawafuatilia, ni kukaa kimya? Unachotakiwa pia kufahamu ni kuwa TL amekuwa anafuatiliwa mara nyingi lakini hakuna wakati aliporushiwa risasi. Sidhani kama ilikuwa rahisi kufikiria kuwa wangepigwa risasi pale, kwenye eneo la nyumba za viongozi na tena mchana. Kama wangelifikiria hilo nina imani wangefanya kitu.
 
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.
Unaaminije hili liziro serial killer ni form four leaver na sio level zingine kama primary, madrasa na kadhalika?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwangu mimi huyu dereva wa Lisu ndio 'the hero of the day' kwenye tukio la shambulio la Lisu.

How did they ignore such an important factor in the equation?
Kawaida unapotaka kufanya tukio kama la 'watu wasiojulikana' kwa Lisu unaangalia factors zote kwenye equation kabla. Unakuwa na plan A, B na C kwa kila factor.

Kuna factors ambazo kwenye mission kama ile zingepelekea ku 'abort mission'.
1. Gari ilikuwa na tinted na juu ilikuwa na top cover. Hakuna namna yeyote ambayo ungeweza kujua location ya Lisu kwa uhakika.
This was enough to abort

2.Lisu alikaa ndani ya gari kwa dk.20 kwa maelezo ya 'dereva'. Hili tendo halikutegemewa, nobody knew the movement inside the car. Proper decision here was 'abort'.

3.Dereva wa lisu; Mimi nachukulia hii kama basics kwenye mission yeyote. Ukitaka kumpiga raisi kwa mfano, ushirikiano wa dereva ni wa msingi sana. Ni moja kati ya watu watakaokusaidia kufanya matukio ya 'the kill zone' yawe kama ulivyopangilia.

Anyway, unapangiliaje tukio kama la Lisu bila hata kujua jina la dereva, background yake, CV yake kwa ujumla. How do you take for granted a massive factor as this.
Kumjua dereva ni moja kati ya factors ambazo zingewasaidia executioners kujua what to expect on 'the kill zone'.

Sasa kwa maelezo ya 'dereva', executioners wameonekana kama wapumbavu wa degree ya kwanza.
Nimemuadmire sana huyu mtu, na nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu sio 'usual street driver'.
Yuko vizuri sana kwenye security details kitu ambacho sio Kawaida kwa dereva wa Kawaida.
☞Aliwajua executioners Dar es salaam na akaweza kuwakimbia.
☞Aliwakariri sura na namba za gari na kwa maelezo yake kwenye mtandao 'anawajua'.
☞Alimshauri Lisu asitoke kwenye gari, alimhamishia kwenye siti ya dereva na akachumpa kwenda nje tena chini ya gari jingine. He was ahead in security details na hii movement ya ndani ya sekunde kadhaa sio ya kawaida. Jameee hii ni training, tena repeated training on how to act on a war zone.
Mtu wa Kawaida bila mafunzo angeona mambo haya bila mafunzo, nafsi yake ingemuelekeza kukimbia ili kulinda maisha yake. But training made him act differently.

★Huyu dereva angetaka 'kama alikuwa properly armed' angewamaliza executioners wote! Yes, why not?
Alikuwa akiangalia wakati 'the SMG' guy was emptying his casing, and also the pistol guy.
He had all the calmness and poise to pick his targets and fire.

Mtu aliyesupervise hili tukio lazima ana ziro darasani.
Normally you pick one killing zone, make best arrangements and hope for the best. Mambo yakishindikana abort and plan for next time.
Sasa kama walimfuatilia toka Dar es salaam , ina maana eneo la kwanza la tukio halikupangwa kuwa Dodoma. Na kama kazi imeshindikana on your 'pre planned kill zone' why not abort?
Ndio maana nasema huyo supervisor lazima awe na zero ya form 4.

Pole Lisu.
Mungu akujalie afya njema.

Inasemekana Mwenye Chuki aliomba amuue lissu kwa mikono yake mwenyewe.Wiki moja kabla ya tukio alikuwa anafundishwa kulenga shabaha

Wakati wa tukio risasi zake hamna hata moja iliyomdhuru lissu maana alikuwa anazirusha ovyo ovyo .Waliokuwa nae kwenye gari walipoona anamaliza risasi tu anakosa shabaha ikabidi wamsaidie mpaka wakafanikisha lengo lao ovu
 
Naomba radhi Mkuu ila kwa maelezo yako haya yaliyojaa ufundi na mbinu za hali ya juu kabisa za Kimedani nashawishika kusema kwamba yawezekana Wewe ndiyo uliyetutesea Tundu Lissu wetu hadi sasa yupo Jijini Nairobi nchini Kenya akiokoa maisha yake.

Naona sasa zile ' albadiri ' zinaanza kufanya Kazi na mnajitokeza wenyewe kutusimulia kile mlichokifanya pale Dodoma.
Sijaamini kama ni wewe au msichana wa kazi ametoa hii comment.
Ila kwakuwa ni Sunday ~ drinking day you know!
Ntakuacha mpaka kesho nikusikie tena.
 
Sijaamini kama ni wewe au msichana wa kazi ametoa hii comment.
Ila kwakuwa ni Sunday ~ drinking day you know!
Ntakuacha mpaka kesho nikusikie tena.

Ila Mkuu sasa ilikuwaje pamoja na kupiga zile risasi zote sijui 28 hadi 32 lakini ' Kipenzi ' chetu bado yu hai huko Nairobi? Sasa nimeamini kuwa ' albadiri ' huwa haimuachi Mtu salama na tuliambiwa kuwa tutaanza kuona dalili na ' Wasiojulikana ' wenyewe wataanza kujihisi, kujitokeza na kuanza kutoa Siri zao na uzoefu wao hasa wa Kimedani za Kimafia.
 
Naomba radhi Mkuu ila kwa maelezo yako haya yaliyojaa ufundi na mbinu za hali ya juu kabisa za Kimedani nashawishika kusema kwamba yawezekana Wewe ndiyo uliyetutesea Tundu Lissu wetu hadi sasa yupo Jijini Nairobi nchini Kenya akiokoa maisha yake.

Naona sasa zile ' albadiri ' zinaanza kufanya Kazi na mnajitokeza wenyewe kutusimulia kile mlichokifanya pale Dodoma.
Duuuh, yamekuwa hayo tena!
 
Ila Mkuu sasa ilikuwaje pamoja na kupiga zile risasi zote sijui 28 hadi 32 lakini ' Kipenzi ' chetu bado yu hai huko Nairobi? Sasa nimeamini kuwa ' albadiri ' huwa haimuachi Mtu salama na tuliambiwa kuwa tutaanza kuona dalili na ' Wasiojulikana ' wenyewe wataanza kujihisi, kujitokeza na kuanza kutoa Siri zao na uzoefu wao hasa wa Kimedani za Kimafia.
Still you are of the same thinking kama jana au upo sober leo?
 
Dereva wa Lissu ni Shahidi Muhimu sana Tena kadri anavyojieleza ndio anavyozidi kuwa Shahid Muhimu

Kukaa na Lissu 20 minutes bila ya kushuka Kwmy gari mkihofia Usalama wenu Tena mko kimyaa hawakupiga simu wala ku text hata kwa Mkewe kuwa kuna Watu tunawasiwasi nao sio jambo la Mchezo

Kuwa shahidi muhimu hilo halina ubishi. Na unaonekana unamtaja dereva kama shahidi anayepaswa kuhojiwa kwa vitisho na sio weledi ili kuficha dhahama. Unasema dk 20 bila kutuma text nk. Je dk 20 kwako ni nyingi kuliko zile wiki za nyuma Lissu aliposema anafuatiliwa na hakuna hatua yoyote? Kama unachosema ni sawa ni hatua gani kachukuliwa aliyemtolea Nape bastola hadharani? Kwa hili la Lissu mmevuka mipaka, suala ka vitisho vya kishamba kwa dereva ni upuuzi mtupu.
 
Naona kama vile unawashauri ili siku nyingine wasikosee!!! Ni kama vile unasikitika kwa kosa walilofanya...la kumkosa!!!!

Pole, ndio mambo ya Mungu.
Ni funzo kwa wasomaji pia kuwa na uwezo wa kudect mambo na kuamua kwa haraka sana.
Kuna masuala hata ukiwa mfatiliaji wa series za kiintelijensia unajifunza.Kuna mambo ya kujilinda nayo na wala si ya kutumia nguvu.
Sasa Lissu alishapata kunena "Anafatiliwa" lazima dereva wake alikuwa makini kwa kila gari lililo nyuma yake kwa muda mrefu.
Ina maana pia alikuwa makini na kila mtu aliyemuwekea mashaka,haya wala hayahitaji uende MBWENI.
Sote tuwe makini sisi wenyewe kwanza nadhan kuna uzi wa "MAKINI" wa mshana jr jaribu kuusaka.
 
Back
Top Bottom