Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa CCM anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.

Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
 
Nimejifunza jambo moja ndani ya CCM kuna uhuru mkubwa wa kutoa maoni lakini hakuna uhuru wa kuropoka. Kupitia mamlaka ya udhamini wa mikopo na madeni yaani BOT tumejua kwamba deni letu ni himilivu hivyo kitendo cha spika bila kuwa na Taarifa rasmi ni upotoshaji
 
Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya ccm kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa ccm anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.
Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
Inatakiwa iwepo njia moja tu ya kumng'oa Spika

Ambayo ni theluthi mbili ya wabunge kupiga kura za hapana kama ilivyo kwenye katiba.

Mambo ya kumtoa kupitia chana ni ya kipumbavu na pia ni hila.

By the time ukiwaambia akina ndugai kwamba katiba ni mbovu walikuwa hawaelewi. Nadhani sasa wamejua.
 
😁😁😁
16413743210542.jpg
 
Inatakiwa iwepo njia moja tu ya kumng'oa Spika

Ambayo ni theluthi mbili ya wabunge kupiga kura za hapana kama ilivyo kwenye katiba.

Mambo ya kumtoa kupitia chana ni ya kipumbavu na pia ni hila.

By the time ukiwaambia akina ndugai kwamba katiba ni mbovu walikuwa hawaelewi. Nadhani sasa wamejua.
Huenda Mungu katufanyia njia ya kupata Katiba mpya ,
 
Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa CCM anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.

Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
Ndugai Must Go!
 
Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa CCM anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.

Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
waunga mkono waliopo gizani
 
Back
Top Bottom