Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa CCM anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.

Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
Hakuna haja ya kumg'oa
 
Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa CCM anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.

Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
Ndungai ni wa kutupa huko mbali sana, hana faida yoyote na amelifanya bunge kuwa kituko na dhaifu. Mama hawezi kuishi na nyoka
 
Alitolewa kolimba kuwa KM CCM kipindi cha Chama kimoja na hali ikawa shwari

Alitolewa Aboud Jumbe Rais wa Zanzibar na Makamu wa Rais na hakuna shida iliyotokea ndo sembuse Ndugai?

Soma historia ya hii nchi wewe
Ndugu wanabodi kuna msemo wa Wana kusini uliozoeleka, nanukuu "ukitema nchale ukimeza nchale"

Ukiacha huo kuna mzee aliwahi kusema ukiona mkono umenyoshwa Kutoka gizani usiukate.

Kwa misemo hii miwili naona inasadifu kinachoendelea ndani ya CCM kuhusu sakata la Ndugai.

Ni kweli kuwa mheshiwa rais kwa kuwa mwenyekiti wa CCM anao uwezo na nguvu ya kushawishi Ndugai ang'olewe na kiukweli inawezekana.

Kuondolewa kwa Ndugai kutamaanisha rais kupata mtu atakae fanya nae kazi bila kinyongo. Ndio faida pekee ya kumtoa Ndugai.

Kwa upande mwingine kabla hajasherekea kutolewa kwa Ndugai, ni muhimu kujiuliza hizi tuhuma za Ndugai zina uzito gani mbele ya jamii.

Lakini lazima kujiuliza ni Ndugai pekee mwenye mtazamo huo, au ni mwakilishi tu wa kundi kubwa ambalo halimuelewi mama!?

Maana kama hauna majibu ya uhakika ni heri kumuacha uvizie tuhuma zingine, au umtengenezee mazingira ya kuchafuka ili akimbiwe na waunga mkono.
 
Alitolewa kolimba kuwa KM CCM kipindi cha Chama kimoja na hali ikawa shwari

Alitolewa Aboud Jumbe Rais wa Zanzibar na Makamu wa Rais na hakuna shida iliyotokea ndo sembuse Ndugai?

Soma historia ya hii nchi wewe
Tatizo sio alitolewa nani tatizo ni sababu za kumtoa na fukuto la siasa lililopo jumlisha na nani mtu wa kutuluza Hali ikichafuka. Maana sote tunajua hao wengine walitimuliwa chama kikiwa na watu wenye moral authority ya kukemea na pakatulia kimya
 
Kuna fukuto zaidi saivi la kulizidi la G 55? Vijana wa juzi someni historia?

Kwa Katiba na Sheria hapa Tanzania Hakuna wa kumtetemesha Rais!

Kama hujui kwa Tanzania Rais ni Mkuu wa Serikali , Mkuu wa Nchi na Amir Jeshi Mkuu

Ukijua maana ya hivi vitu vitatu hutapata shida kufahamu kuwa hapa Tanzania Hakuna wa kumtisha Rais zaidi ya Mungu
Tatizo sio alitolewa nani tatizo ni sababu za kumtoa na fukuto la siasa lililopo jumlisha na nani mtu wa kutuluza Hali ikichafuka. Maana sote tunajua hao wengine walitimuliwa chama kikiwa na watu wenye moral authority ya kukemea na pakatulia kimya
 
Tatizo sio alitolewa nani tatizo ni sababu za kumtoa na fukuto la siasa lililopo jumlisha na nani mtu wa kutuluza Hali ikichafuka. Maana sote tunajua hao wengine walitimuliwa chama kikiwa na watu wenye moral authority ya kukemea na pakatulia kimya
Ndungai anatolewa na hakuna wa kuchafua hali ya hewa. Sababu za kumtoa Ndugai ni nyingi mno. Hata ile ya Covid-19 nayo ni sababu
 
Kuna fukuto zaidi saivi la kulizidi la G 55? Vijana wa juzi someni historia?

Kwa Katiba na Sheria hapa Tanzania Hakuna wa kumtetemesha Rais!

Kama hujui kwa Tanzania Rais ni Mkuu wa Serikali , Mkuu wa Nchi na Amir Jeshi Mkuu

Ukijua maana ya hivi vitu vitatu hutapata shida kufahamu kuwa hapa Tanzania Hakuna wa kumtisha Rais zaidi ya Mungu
Unazungumzia G 55 wakati huo mwalimu alikuwepo ndiye alitumika kutuliza Hali cha kuomba tu sasa hivi Ndugai asiungwe mkono!
 
Soma Katiba Rais wa Tanzania ni nani alafu urudi hapa
Anaweza akawa vyovyote kikatiba lakini nguvu yake inategemea mshikamano ndani ya chama na serikali pia. Nguvu ya raisi hutegemezwa na umoja na mshikamano sio tu mabavu ya kikatiba
 
Ndungai anatolewa na hakuna wa kuchafua hali ya hewa. Sababu za kumtoa Ndugai ni nyingi mno. Hata ile ya Covid-19 nayo ni sababu
Ndio maana kwenye hoja yangu nimesema aidha wamvizie mahali fulani akiteleza au wamchafue kwa kutengeneza skendo.

Na niwe mkweli huyu mheshimiwa ccm imemlea na kumfuga kwa tabia zake za ajabuajabu ila kwa kuwa alikuwa hajagonga penyewe ndio walikuwa wanamchekea ila sasa kapiga penyewe ndio wamejua inavyouma ndio maana naona inatakiwa wawe wapole.
 
Huenda Mungu katufanyia njia ya kupata Katiba mpya ,
Na kweli ningekuwa mshauri wa Mh Rais ningemwambia najua ccm hawaitaki katiba mpya kwasababu ni msumari wa moto,dawa ni kuwapatia wananchi KATIBA MPYA hapo angeacha LEGACY isiyofutika milele
 
Unazungumzia G 55 wakati huo mwalimu alikuwepo ndiye alitumika kutuliza Hali cha kuomba tu sasa hivi Ndugai asiungwe mkono!
Wewe kama sio ndugai mwenyewe basi ni ndugu yake au utakuwa una maslahi fulani fulani na Ndungai maana si kwa huu utetezi. Usipoteze muda kaka Ndungai lazima wamkiki out na hana hao wafuasi unaofikilia anao
 
Kama chama kikamuacha Ngugai akaendelea kuwepo, atakuwa spika picha tu, na hapo ingekuwa nchi nyingine wananchi wangemuomba aondoke maana ameshakuwa compromized.... Yaani hataweza kuongoza tena kwa weledi. Au unaonaje ndugu yangu Pascal Mayalla ?
 
Back
Top Bottom