Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

Kumuacha Spika Ndugai ni tatizo lakini pia kumng'oa laweza kuwa tatizo zaidi

Yakuwakumbatia wabunge ambao hawana chama hiyo sio tuhuma/shutuma

Ndungai anatolewa na hakuna wa kuchafua hali ya hewa. Sababu za kumtoa Ndugai ni nyingi mno. Hata ile ya Covid-19 nayo ni sababu
Kwani we hujui kwamba kuwakumbatia wale wabunge ni kwa manufaa mapana ya ccm? Ikiwa kuwakumbatia wale wabunge kutasaidia kuuchafua upinzani kwa mwanaccm yeyote hiyo sio shida.

Labda kama wataamua kumshughukia kisha wakakosa sababu zingine zote Basi hata hii itawafaa ingawa ina makengeza maana hajaanza leo kuwakumbatia hao na haikuwa kwa siri walikuwa wapi siku zote.
 
Wewe kama sio ndugai mwenyewe basi ni ndugu yake au utakuwa una maslahi fulani fulani na Ndungai maana si kwa huu utetezi. Usipoteze muda kaka Ndungai lazima wamkiki out na hana hao wafuasi unaofikilia anao
Ndugu mchokolo usikimbilie kunishambulia shambulia hoja zangu, ninachosema ni kwamba hawahawa ccm wamemuacha Ndugai muda wote anafanya mauzauza hawakumfanya chochote na safari hii kanya sebuleni kwao kwa hiyo wavumilie tu. Maana makosa aliyofanya sasa hayana uzito wowote ukilinganisha na aliyofanya huko nyuma.
 
Kwani we hujui kwamba kuwakumbatia wale wabunge ni kwa manufaa mapana ya ccm? Ikiwa kuwakumbatia wale wabunge kutasaidia kuuchafua upinzani kwa mwanaccm yeyote hiyo sio shida.

Labda kama wataamua kumshughukia kisha wakakosa sababu zingine zote Basi hata hii itawafaa ingawa ina makengeza maana hajaanza leo kuwakumbatia hao na haikuwa kwa siri walikuwa wapi siku zote.

Ndugu mchokolo usikimbilie kunishambulia shambulia hoja zangu, ninachosema ni kwamba hawahawa ccm wamemuacha Ndugai muda wote anafanya mauzauza hawakumfanya chochote na safari hii kanya sebuleni kwao kwa hiyo wavumilie tu. Maana makosa aliyofanya sasa hayana uzito wowote ukilinganisha na aliyofanya huko nyuma.
Samahani mkuu 🙏
 
Kwani we hujui kwamba kuwakumbatia wale wabunge ni kwa manufaa mapana ya ccm? Ikiwa kuwakumbatia wale wabunge kutasaidia kuuchafua upinzani kwa mwanaccm yeyote hiyo sio shida.

Labda kama wataamua kumshughukia kisha wakakosa sababu zingine zote Basi hata hii itawafaa ingawa ina makengeza maana hajaanza leo kuwakumbatia hao na haikuwa kwa siri walikuwa wapi siku zote.
Lazima wamkiki out hata kukiwa hakuna sababu za maana na hakutakuwa na chokochoko zozote zile. Kwanza mama kasema anataka kuja na mkeka mpya unafikili ktk hali kama hiyo nani atasubutu kujitunisha kifua? Sasahivi nafikili masangoma wanapiga sana hela🤣🤣mama kacheza na saikoloji sasahivi mafisi hayapumziki kwa wasiwasi
 
Sasa hilo ni kosa? Kwa sheria ipi?

Madhara ya kuishi kwa kuzibwa mdomo ndo haya
We kama si mwanasiasa huwezi jua mambo hayo. Rejea Mbowe alipomwambia Sumaye sumu aionjwi na kilichotkea baada ya hapo.
 
Lazima wamkiki out hata kukiwa hakuna sababu za maana na hakutakuwa na chokochoko zozote zile. Kwanza mama kasema anataka kuja na mkeka mpya unafikili ktk hali kama hiyo nani atasubutu kujitunisha kifua? Sasahivi nafikili masangoma wanapiga sana hela🤣🤣mama kacheza na saikoloji sasahivi mafisi hayapumziki kwa wasiwasi
Kumkiki out sawa ila kwa kosa lipi!? Kwa kosa la kusema deni la taifa limepanda sana!? kwa kusema tubanane kwenye tozo ili tujitegemee? Au kwa kusema kama kuna watu wanafikiri tutaendelea kwa kukopa wasubiri uchaguzi 2025 ili wananchi waamue.
 
Spika kuendela kuwepo ni kuwa na dola inayolia mlio wa noki. Hujui lini itasieze.
Tatizo letu hapa ni kuzoea vibaya kwamba kila wakati watu wafanane mawazo jambo ambalo sio afya nchi hii ina huo ugonjwa. Tatizo linatakiwa liwe kuvunja sheria za nchi kutofautiana mtazamo halijawahi kuwa jambo baya!
 
Tatizo letu hapa ni kuzoea vibaya kwamba kila wakati watu wafanane mawazo jambo ambalo sio afya nchi hii ina huo ugonjwa. Tatizo linatakiwa liwe kuvunja sheria za nchi kutofautiana mtazamo halijawahi kuwa jambo baya!

Mh Ndugai sasa ataheshimika kwa maamuzi haya ya kijasiri. Na wote walio kuwa wakiongea lugha moja na Hayati JPM akiwa hai na wakageuka alipolala kaburini watie maji maana mwenzao keshanyolewa tayari. Mungu hawezi kuvumilia unafiki wa kiwango hiki ulionekana kwa baadhi ya wanasisa wa kumgeuka JPM kwa vile hayuko.
 
Back
Top Bottom