Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi wanawake ni wabishi na hatupendi kuonewa.Utaona Sasa Kama huu mjadala utaisha mtakuwa mnapumzika tu mnarudi Tena mpk na vitukuu vyenu watajadili.. chakufanya nyie ishini tu kila mmoja apambane na bomu lake huko.😂
Nakupenda pia..😍😘Sisi wanawake ni wabishi na hatupendi kuonewa.
Hasa kina sisi Karuceee uwii but anyway kenzy nimetokea kukupenda 😍😘
Mbona wengine tunaaminika vizuri tena sana
wanawake ni vyombo dhaifuMbona wengine tunaaminika vizuri tena sana
Mtachoka tu mkimaliza rudini kila mmoja akapambane na bomu lake..🤣Yaani. Na kutuchimba beat tufunge mada.
Kwanini unasema ana akili mbovu?Usigeneralize wanawake wote bana! Ni huyo tu mwenye akili mbovu si wote.
Anapataje mimba naye?Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
[emoji38][emoji38][emoji38]Aisee![emoji45]View attachment 1776298
Hivi hapa jibu unahisi linaweza kuwa A bila B kweli mkuu? Nadhani ungeweka na jibu la all of the above are correct🤔.Kwanini unasema ana akili mbovu?
1. Kwasababu hakutumia njia za kujilinda na ujauzito? au
2. Kwasababu amechepuka?
Lkn mme wake amekuwa masomoni kwa miaka mitatu pasipo kurudi (chumvi😊).. Yeye afanyeje sasa?..Hivi hapa jibu unahisi linaweza kuwa A bila B kweli mkuu? Nadhani ungeweka na jibu la all of the above are correct🤔.
Kafanya makosa kuchepuka coz ni mke halali wa mtu pia kuchepuka hadi ujauzito ni baya zaidi.
Nani kasemawanawake ni vyombo dhaifu
Nilipata anayetuma na ya kutolea, we si ulijifanya bahiliSio kwa kibuti kile ulichonipiga..😬
Kitaumana tu si nakujua vizuri labda sio wewe...🤣Nilipata anayetuma na ya kutolea, we si ulijifanya bahili
Umenisingizia bana😄Huoni ulichoandika..😂
Ukiongeza dau aki namuacha nakurudia fastaa🤑Kitaumana tu si nakujua vizuri labda sio wewe...🤣