Kumuamini mwanamke ni tatizo

Kumuamini mwanamke ni tatizo

Kwani yule muumini kwa kuoa ma bikira anasemaje.!??
 
Kupenda ni jambo lingine na kushindwa kudhibiti ashki za kimapenzi ni jambo lingine......

Ashki za kimapenzi zinakuja automatically kama una mpenzi au mke anakupa stara ya jambo hilo.....

Si kila anayetoka nje kimahusiano hampendi mpenzi wake la hasha ni kulingana na mazingira.......ni kama vile una njaa lakini nyumbani ni mbali na unalazimika kula kwa mama ntilie.......

Ndio maana unaweza ukajikuta umesaliti lakini hutaki umpendaye ajue.......

NB
Kama upo kwenye mahusiano jitahidi kudhibiti ashki zako....

Karibu supu ya utumbo hapa kwa mramba ndg.
 
Subutu kuna wanawake hawayumbishwi na huto tusenti twenu.

Wengine hawapigwi kwa senti wanapigwa kwa senti zao wenyewe.
Tena kwa hiyo situation iliyoelezwa ndio rahisi, jitu linaenda kusoma miaka miwili halafu kamuacha mke wake
Kwanza yeye tuu kule aliko hawezi kukaa bila kupasha, same to the woman. Tofauti ni mlume hawezi shika mimba
 
Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
Mambo mengine watu hujitakia,labda tuwape udhuru kwa kutokujua kwao uhakika wa haya mambo.

Ninasema mimi,haya yafuatayo :

1. Ni kosa kubwa sana kukaa mbali na mkeo.
2. Bora uache kwenda masomoni ukae na mkeo.

Lakini ikitokea unaenda masomoni na mke ukawa mbali naye, fanya moja kati ya haya mawili :
1. Nenda nae au
2. Mpeleke akaishi nyumbani kwenu.

Kisha baada ya hapo(hayo mawili niliyo yataja hapo juu baada ya aya hii) kama wewe ni mtu wa imani ya din ya Mola mmoja,basi mkabidhi jambo lako akuhifadhie mkeo.
 
Mwanamke sio wa kumuamini hata kidogo
Unaweza ukajinyonga kwa ajili yake
Halafu siku ya msiba
Akaja na mwanaume mwingine
Ishanitokea Mara mbili
 
Mambo mengine watu hujitakia,labda tuwape udhuru kwa kutokujua kwao uhakika wa haya mambo.

Ninasema mimi,haya yafuatayo :

1. Ni kosa kubwa sana kukaa mbali na mkeo.
2. Bora uache kwenda masomoni ukae na mkeo.

Lakini ikitokea unaenda masomoni na mke fanya moja kati ya haya mawili :
1. Nenda nae au
2. Mpeleke akakishi nyumbani kwenu.

Kisha baada ya hapo(hayo mawili niliyo yataja hapo juu baada ya aya hii) kama wewe ni mtu wa imani ya din ya Mola mmoja,basi mkabidhi jambo lako akuhifadhie mkeo.
Mkuu kuna watu wanawakuta wanawake na tabia chafu huko nje na wanajiaminisha wakisha waoa watabadilika.

Kiufupi hata ukimpeleka akawe sista kanisani kama alikua mgawaji ataipeleka tu mbususu yake hata kwa watumikiaji.
 
Mkuu kuna watu wanawakuta wanawake na tabia chafu huko nje na wanajiaminisha wakisha waoa watabadilika.

Kiufui hata ukimpeleka akawe sista kanisani kama alikua mgawaji ataipeleka tu mbususu yake hata kwa watumikiaji.
Hao wazembe.
 
Sasa mntaka mjadala uwe mrefu huu hautaisha mpk kizazi cha nne huko.. tunatumia mbinu mbadala..

Mmeshakubali mjadala ufungwe..😂
Kha kumbe kweli umeedit muone pua yake😀, nimeshtuka hivi kweli mimi ndo niliandika hivo jamani😜
 
Kwenye issue ya uaminifu ni jinsia zote mbili pia Wanaume wengi siyo waaminifu.
 
Ndo kama hivi
JamiiForums113070025.jpg
 
Maisha ni kuchagua, ni kila chaguo lina risks zake.....kwenda masomoni ni vema kwa jailli ya fursa za maendeleo kumuacha mke peke yake nayo ni risk ambayo inaweza kuwa na matukio hasi.....binadamu kuwa free ni risks anaweza fanya machaguzi yasio sahihi kutokana na vishawishi na udhaifu wa imani yake,especialy kizazi hiki.......cha msingi watu wanapofanya maamuzi wawe makini based on priorities....cha kwanza ni ustawi na usalama wa familia vingine vyote ndio hufuata.....vyeti kwa ajili ya green pasture ni vyema ila havina guarantee masha yatakuwa mazuri....ila kwenye familia ukichemsha kidogo guarantee ipo Kuwa itakucost!

Atalaumiwa huyu mwanamke ila lazıma mume naye ajue huu ni msalaba wake.
 
Nadhani wanawake wakopitia comment za hapo juu watashangaa sana na kuona jinsi wanaume walivyo hawawaamini
 
Jamaa yetu kaenda masomonj kamuacha mkewe now kapewa mimba anaangaika kuitoa
sasa ujinga wa mtu mmoja ndo utubebeshe wote, kwaio tukisema wanaume wajinga wanaokuwa machoko tukakujumuisha na wewe utajisikiaje??
 
Wengine hawapigwi kwa senti wanapigwa kwa senti zao wenyewe.
Tena kwa hiyo situation iliyoelezwa ndio rahisi, jitu linaenda kusoma miaka miwili halafu kamuacha mke wake
Kwanza yeye tuu kule aliko hawezi kukaa bila kupasha, same to the woman. Tofauti ni mlume hawezi shika mimba
Kwa hiyo shida ni mimba? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom