Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,255
- 1,565
Kwa sie wapenzi wa Ndomo,yawezekana itachukua muda mrefu sana kulisahau hili tamasha la fiesta 2014 maana limekuwa kama mkuki kuchoma kwenye kidonda,wakati mashabiki wake tukijua na kuamini Diamond yuko
kwenye PEACK ( au climax yenyewe ile) ghafla hatuamini wala kusadiki kile kinachotokea usiku wa jana pale leaders club.
Kwa mara ya kwanza Diamond aka sukari ya warembo anazomewa akiwa jukwaani,na kibaya zaidi anazomewa karibu na umati wote,..inahuzunisha sana,inatia hasira sara,inafedhehesha sanaa,INAUMIZA zaidi pale Ally Kiba anapomfunika Dimond kwa mbali sana,Ally Kiba kashangiliwa sana,..yaani mtu ambaye siku mbili zilizopita Dimond alitangaza kumsaidia kufanya collabo ili amuinue ndiye anamfunika..hii haita kaa kamwe itoke kichwani kwa Dimond na mashabiki wake.
Baada ya tukio hili,ambalo naweza sema ni baya sana kibiashara kwa Diamond hapa Tanzania,yamejitokeza makundi ambayo yanataka kumtetea Diamond au kugeuza hali halisi ya jana kuwa tofauti,baadhi yao wamekuja na hoja dhaifu kabisa kama vile
1/Mashabiki walitengenezwa kumzomea Dimond
2/Dimond anachukiwa na Watanzania
3/Dimond ni wakimataifa hata watanzania tukimchukia mataifa mengine yatamuabudu
4/clouds wametengeneza watu wazomee kumshusha Dimond
5/Watanzania hatujui vizuri ndio maana wamemshangilia Kiba
6....
Kiukweli ukiangalia hizo sababu hapo hata moja yenye mashiko haipo,hazina msing wala hazina ukweli,DIMOND SI WA KIMATAIFA kumlinganisha hata na Davido,acha hao wa kimataifa wenyewe,wala huwezi mlinganisha hata na Jay D, Dimond bado ana kazi kubwa ya kufanya kufikia kuitwa wa kimataifa,kwenda kuwaaimbia wabongo wanaoish marekani etc haitoshi kujiita wa KIMATAIFA.
Dimond,yawezekana umeanza kuchukiwa na Watu,sio kwa sababu yako,ila kuna timu yako unawalipa kwaajili ya PR wanashinda kwenye mitandao hao ndio wanaokuharibia,hawajui misingi ya PR..wanapost utumbo watu wakiponda wanarudi kuwajibu kwa kejeli na matusi hatimaye hasira zaja kwako,change hiyo timu ya PR,muangalie Jay Dee anafanyaje kwenye mamabo ya PR...
Kila la kheri Dimond..
kwenye PEACK ( au climax yenyewe ile) ghafla hatuamini wala kusadiki kile kinachotokea usiku wa jana pale leaders club.
Kwa mara ya kwanza Diamond aka sukari ya warembo anazomewa akiwa jukwaani,na kibaya zaidi anazomewa karibu na umati wote,..inahuzunisha sana,inatia hasira sara,inafedhehesha sanaa,INAUMIZA zaidi pale Ally Kiba anapomfunika Dimond kwa mbali sana,Ally Kiba kashangiliwa sana,..yaani mtu ambaye siku mbili zilizopita Dimond alitangaza kumsaidia kufanya collabo ili amuinue ndiye anamfunika..hii haita kaa kamwe itoke kichwani kwa Dimond na mashabiki wake.
Baada ya tukio hili,ambalo naweza sema ni baya sana kibiashara kwa Diamond hapa Tanzania,yamejitokeza makundi ambayo yanataka kumtetea Diamond au kugeuza hali halisi ya jana kuwa tofauti,baadhi yao wamekuja na hoja dhaifu kabisa kama vile
1/Mashabiki walitengenezwa kumzomea Dimond
2/Dimond anachukiwa na Watanzania
3/Dimond ni wakimataifa hata watanzania tukimchukia mataifa mengine yatamuabudu
4/clouds wametengeneza watu wazomee kumshusha Dimond
5/Watanzania hatujui vizuri ndio maana wamemshangilia Kiba
6....
Kiukweli ukiangalia hizo sababu hapo hata moja yenye mashiko haipo,hazina msing wala hazina ukweli,DIMOND SI WA KIMATAIFA kumlinganisha hata na Davido,acha hao wa kimataifa wenyewe,wala huwezi mlinganisha hata na Jay D, Dimond bado ana kazi kubwa ya kufanya kufikia kuitwa wa kimataifa,kwenda kuwaaimbia wabongo wanaoish marekani etc haitoshi kujiita wa KIMATAIFA.
Dimond,yawezekana umeanza kuchukiwa na Watu,sio kwa sababu yako,ila kuna timu yako unawalipa kwaajili ya PR wanashinda kwenye mitandao hao ndio wanaokuharibia,hawajui misingi ya PR..wanapost utumbo watu wakiponda wanarudi kuwajibu kwa kejeli na matusi hatimaye hasira zaja kwako,change hiyo timu ya PR,muangalie Jay Dee anafanyaje kwenye mamabo ya PR...
Kila la kheri Dimond..