Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Ujinga kumuona Kuhani?Ndio maana niliacha kusali mimi ah yanini ujinga huo.
Kuhani au mganga wa kienyeji mwenye waumini wa kikristoUjinga kumuona Kuhani?
SawaKuhani au mganga wa kienyeji mwenye waumini wa kikristo
Ni buku 20 tu njooni niwapigie baoLaki mbili kupiga ramli tu?
ebwana ndio.
So na wewe ni muumini mzuri wavile vifaa vya rohoni?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa ninanguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Ndio ninatumia kwa jina la YESU...So na wewe ni muumini mzuri wavile vifaa vya rohoni.?
Hata 2,000 sitoi, hawa wachungaji wa uongo wanatuharibia imani.Ukifika pale Temboni unataka kumwona Kuhani Mussa Richard kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
MUNGU si kigeugeu.Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa ninanguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe
Ooh okay kwanini wanauza bei tofauti mfano kuna mafuta ya 30000 na ya 120000 kwa kipimo kile kile.Ndio ninatumia kwa jina la YESU...
Maana kama huna Imani havikusaidii