Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Kwani siku hizi manabii wanatofauti gani na waganga??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vyema kila mtu akabaki na Imani yake...MUNGU si kigeugeu.
Hawezi kupingana na neno lake.
Kama kuna mtu anawatoza pesa kwa njia yoyote ile ili awape vifaa vya kiroho huyo ni wakala wa Ibilisi haijalishi watu wanapona au la.
My father ni mganga nguli mpaka vichaa wanapona kwahiyo uponyaji sio kigezo kusema fulani ana MUNGU.
Muda mwingine muache kuenenda kwa hisia .
View attachment 2815751
Ninachojua kuwa ni sadaka...Ooh okay kwanini wanauza bei tofauti mfano kuna mafuta ya 30000 na ya 120000 kwa kipimo kile kile.
Kwanini Kuhani ni bure?Kwangu Kuhani Mimi ni buree kabisa,,,Karibuni Nyotee Kwa Maombi!!
Kama mnapotoshwa lazima tuwatoe shimoni.Ni vyema kila mtu akabaki na Imani yake...
Hawa ni waganga wa kienyeji. Kila kitu kinachofanywa na waganda wa kienyeji wanafanya. Ramli, hiziri za kuleta miujiza au kukinga. Tofauti kabisa na alivyofanya Yesu.Hata 2,000 sitoi, hawa wachungaji wa uongo wanatuharibia imani.
Huyu mchaga meizi kabisa
Mkuu, Imani yangu ni level za juu, siongei kwa hisia Nina nguvu za Rohoni...Kama mnapotoshwa lazima tuwatoe shimoni.
Yes.
Kama uliwahi kutoa hata sh. mia 1 kwaajili ya kununua kifaa cha kiroho jua kuwa uliuziwa na wakala wa Ibilisi.
Ndio maana niliacha kusali mimi ah yanini ujinga huo.
Tofauti ni mbinu, pia mmoja kumtajataja sana YesuKwani siku hizi manabii wanatofauti gani na waganga??
Duuuh [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Laki mbili [emoji849][emoji849] yupo uchi au ??
🤣🤣🤣🤣🤣Laki mbili 🙄🙄 yupo uchi au ??
Hapo sasa umeanza kutudanganyaMkuu, Imani yangu ni level za juu, siongei kwa hisia Nina nguvu za Rohoni...
Naweza kuona kuwa huyu ni Nabii feki au sio...
Hata wewe tukikutana na wewe nakujua mpaka ukoo wako...
Huna mamlaka ya kumuita mtu Wakala wa Ibilisi wakati hujapima Roho kwa njia ya Roho Mtakatifu
Ndio tumefikia huko😳 basi Kazi wanayoUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Sikudanganyi...Hapo sasa umeanza kutudanganya
Binadamu hasa kutoka mataifa haya wana upungufu wa akili mwiliniUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Sijawahi kusali kwa manabii hata hayo madhehebu nimeyaacha ikiwemo TAGWenzako wanasali kwenye madhehebu yao,wewe kiranga kwa nabii.shwaaa shwaaaaa.