Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka leo, kama mazuri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Huyu haja lipa laki mbili, akilipa hyu, anaona uchi wako bila kuvua nguo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mamaeee
Sijalipa hata Senti kumi, nilikuwa naenda ibadani, ila sio kila mara, na nasikiliza neno kwa Tv na Redio...

Mi ni Muanglicana na ndio nasali hata sasa...

Nikakuza Imani yangu kwa Yesu ..

Neno la Mungu linasema;
Waaminini Manabii mtafanikiwa, niaminini mimi mtathibitika
 
Jielimishe kuhusu kukua kiroho,,kwa kimombo huitwa SPIRITUAL AWAKENING. Hautakuja na hizo swaga nyepesi za kukua kiroho.
Hizi ni juhudi zangu, za kisikiliza neno na kuliishi na kuomba kwa Imani ..

Huwezi kukua kiroho kirahisi tu, lazima umtafute Mungu kwa bidii zote...

Walio wa Rohoni wanajuana, wewe huwezi nijua maana ni wa mwilini
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Wakristo acha wapigwe,watakuambia Kobaz wanamuonea gere
 
Hizi ni juhudi zangu, za kisikiliza neno na kuliishi na kuomba kwa Imani ..

Huwezi kukua kiroho kirahisi tu, lazima umtafute Mungu kwa bidii zote...

Walio wa Rohoni wanajuana, wewe huwezi nijua maana ni wa mwilini
Nasubiri kwa hamu ujibu swali langu. Je kwa uzoefu wako, kama ukimwomba Mungu kwa imani katika Jina la Yesu bila kutumia hivyo "vifaa vya kiroho", je utajibiwa maombi yako?
 
Back
Top Bottom