Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Wajonga ndio waliwao
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Hapo ni kwa mganga anayetumia biblia
 
MUNGU si kigeugeu.
Hawezi kupingana na neno lake.
Kama kuna mtu anawatoza pesa kwa njia yoyote ile ili awape vifaa vya kiroho huyo ni wakala wa Ibilisi haijalishi watu wanapona au la.
My father ni mganga nguli mpaka vichaa wanapona kwahiyo uponyaji sio kigezo kusema fulani ana MUNGU.
Muda mwingine muache kuenenda kwa hisia .
View attachment 2815751
Na nyie wafanya hayo bure mjitathimini kama mnacho .mlichopewa

Watu wanakuja kwenu watoa bure hawapati ufumbuzi

Kelele tu ohhh tumepewa bure tunatoa bure kiko wapi hicho mnatoa bure mtu anakuja kwenu haponi ,shida zake hazitoki miaka

Akina Petro walisema kwa yule kiwete kuwa tutazame sisi tuna kitu wakijiamini wana kitu wakasema tulichonacho tunakupa bure kwa Jina la Yesu inuka na kiwete akainuka Sababu akina Petro walijua wana kitu na waweza toa bure bila shida na mtu changamoto yake ikaisha kufumba na kufumbua

Mnacho hicho cha kutoa mtu akija kwenu na mashida kibao kama petro alitamka ? au na nyie matapeli tu hamna hata cha kutoa mnatafuta waumini tu? Matapeli nyie


Na nyie kama hamna kitu cha kutoa kama Petro aliyetamka tulichonacho tunakupa na nyie ni matapeli tu wanaotumia injili kutapeli watu hamna tofauti yeyote
 
Back
Top Bottom