OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Unaizungumziaje FAST TRACK FEE ya Sh.200,000?Kwenye madhabahu ya Ngome ya Yesu kwa Kuhani Musa ndipo ndipo nilipomjua YESU aliyehai...
Mpaka sasa nina nguvu za Rohoni sababu ya madhabahu ya hiyo...
Mungu azidi kumbariki Kuhani Musa
Bwana YESU atukuzwe