Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6. Hiyo service ya 1 on 1 ni utapeli Mtupu. Hakuna nabii au mtume wa uongo asiyelipisha watu kwenye kuombea hata kwenye simu tu atakwambia utume hela ndio akuombee. Kanisa limevami na mbwa mwitu wakali wenye kuvaa ngozi za kondoo.
Mbaya zaidi, Njia iendayo upotevuni ni pana...na wengi wanaifuata.

Ila sishangai sana,
Hata shetani mwenyewe alivyokuwa anatupwa kutoka Mbinguni...Alishawishi theluthi ya malaika,wakaasi na hatimaye kitupwa pamoja naye.
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Tapeli Kuhani Mussa kama matapeli wengine shenzi kabisa.
 
Najua hizo lakin2 ni sadaka , kwaajili ya ujenzi wa kanisa ambalo linajengwa..

Mi nimesali kwa Kuhani Musa ila sijawahi ingia ofisini kwake...

Nilikuwa naenda ibadani Tena kwa ku beep ila nimekua kiroho sababu ya mahubiri yake juu ya Yesu Kristo...
Mpigie debe.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
MUNGU si kigeugeu.
Hawezi kupingana na neno lake.
Kama kuna mtu anawatoza pesa kwa njia yoyote ile ili awape vifaa vya kiroho huyo ni wakala wa Ibilisi haijalishi watu wanapona au la.
My father ni mganga nguli mpaka vichaa wanapona kwahiyo uponyaji sio kigezo kusema fulani ana MUNGU.
Muda mwingine muache kuenenda kwa hisia .
View attachment 2815751
AMINA.Hiyo imeisha hiyo.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Mi nilipelekwa kwa nabii .Naambiwa matatizo yangu yamesababishwa na Sada kuniibia manii yangu.Ikabidi nikubali nikubali tu ili nisiwauzi walionipeleka.Sijawahi kuwa na mpenzi anaitwa Sada.Dawa michumvi,mimafuta na udongo wa madhabau.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Hapa sijaelewa nini ulimaanisha mkuu
Namaanisha kuwa hawa wauni wanaibia watu mchana kweupe wakisingizia kuwa wanamhubiri/tangaza Yesu ambaye aliwakataza wasitoze watu pesa.
Unfortunately utapeli wao uko wazi hawamuhubiri Yesu maana wangekuwa wanamtangaza Yesu kwanza wangeacha uzinzi pili wangeacha kutoza watu pesa kwa mgongo wa vifaa vya kiroho.
Shenzi kabisa
 
Namaanisha kuwa hawa wauni wanaibia watu mchana kweupe wakisingizia kuwa wanamhubiri/tangaza Yesu ambaye aliwakataza wasitoze watu pesa.
Unfortunately utapeli wao uko wazi hawamuhubiri Yesu maana wangekuwa wanamtangaza Yesu kwanza wangeacha uzinzi pili wangeacha kutoza watu pesa kwa mgongo wa vifaa vya kiroho.
Shenzi kabisa
Ulimkamata yupi anafanya uzinzi?
 
Back
Top Bottom