Sasa una mdharau mtu kisa imani yake? Kila mtu kuna kitu ana kiamini kwa aina yake!
Halafu jf bhna ukiingia kichwa kichwa unaweza fikiri hawasali,hawaendi kwa manabii ,hawaendi kwa mitume,hawatoi michango ya harusi na hawapendi mambo ya dini hahahah!
Humu akili za kuambiwa changanya na zako…kuna chumvi nyingi zinazidishwa kwenye matukio….! Ukisoma coments za humu unaweza jiuliza hawa waumini manabii huwa wanawapata wapi? Na hawa waganga huwa wanapata wateja wapi? Kumbe ni hawa hawa wanaopinga sana ndio waumini wao!
😂😂😂😂😂😂