Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Aiseee!
Yaani kumuona akufanyie maombi unalipia?

Yesu alisema umepewa bure toa bure
Math10:8

Kinyume na hapo,siyo maagizo ya Kristo..
Kama si ya Kristo basi ni maagizo toka sehemu nyingine ila siyo kwa Mungu.
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa Hosea 4 :6. Hiyo service ya 1 on 1 ni utapeli Mtupu. Hakuna nabii au mtume wa uongo asiyelipisha watu kwenye kuombea hata kwenye simu tu atakwambia utume hela ndio akuombee. Kanisa limevami na mbwa mwitu wakali wenye kuvaa ngozi za kondoo.
 
Sasa una mdharau mtu kisa imani yake? Kila mtu kuna kitu ana kiamini kwa aina yake!
Halafu jf bhna ukiingia kichwa kichwa unaweza fikiri hawasali,hawaendi kwa manabii ,hawaendi kwa mitume,hawatoi michango ya harusi na hawapendi mambo ya dini hahahah!

Humu akili za kuambiwa changanya na zako…kuna chumvi nyingi zinazidishwa kwenye matukio….! Ukisoma coments za humu unaweza jiuliza hawa waumini manabii huwa wanawapata wapi? Na hawa waganga huwa wanapata wateja wapi? Kumbe ni hawa hawa wanaopinga sana ndio waumini wao!

😂😂😂😂😂😂
Mkuu mimi nimeshawahi kwenda kwa hawa manabii pamoja na kwa waganga. Yanayosemwa yote ni kweli. Kwangu mimi bora niende Sumbawanga kwa mganga kuliko hawa manabii ushuzi akiwemo huyu Kuhani mpuuzi Musa.
 
MAMAD KUNA AKUHANI WALIONDOLEWA MAJUZI WALIKUWA WANAFANYA UDALALI KUPITIA JINA LA BABA NA HATA WALIOBAKI WALIONYWA KANISANI..SASA ASIMCHAFUE DADY KWA UPUUZI WA WACHACHE KAMA AMEPIGWA AENDE POLISI NA SIO KUMCHAFUA KUHAN WANGU
Wewe tayari ushakuwa initiated kwenye cult ya huyo mganga jiandae kuwa mbuzi wa kafara. Eti asimchafue dady what a nonsense. Huyo Kuhani Musa ni occultic grandmaster sawa na Baba yake wa kiroho aliyejiita mzee wa Yesu.
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Mwafrika yeyote kama ni Muislam au Mkristu ana matatizo ya kiakili tu, utafuatiliaje dini za watu bila kujuwa ukweli?
 
Mkuu mimi nimeshawahi kwenda kwa hawa manabii pamoja na kwa waganga. Yanayosemwa yote ni kweli. Kwangu mimi bora niende Sumbawanga kwa mganga kuliko hawa manabii ushuzi akiwemo huyu Kuhani mpuuzi Musa.
Aiseeee ..bora wewe umesema umeshawai kwenda ! Shida ni wengine kusema hawajawai gusa uko kote…….
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Si angalau huyo!
Yupo mwengine wa Moro single 0.5M, family 1M
Hapo ukienda na laki mbili yako wasaidizi wake hawakuchekei... unarudi hivihivi
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Watu badala ya kutafuta kumuona Yesu kwa maombi yako mwenyewe, unataka kumuona binadamu mwenzio. ambaye kwenye tv unamuona.
Kila siku nazidi kuona ufunuo wa Yesu watakuja macristo wa uongo.
Watu wangu wanaangamia kwa kutokuwa na maarifa
 
Back
Top Bottom