Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

Kumuona Kuhani Mussa wa Kimara kwa haraka ni Tshs Laki 2

33adf75106b448f4a03669a2018e2e8b(1).jpg
 
Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.

Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.

mama D mwaga Sera I/O wa Kuhani.

Hakuna pesa yoyote ukitaka kumuona Kuhani Musa
Usitapeliwe Sandali Ali wala usidanganyike
Hakuna fast track wala pesa ya vifaa vya kiroho maana kila ibada vinagawiwa buree labda utake vya ziada
 
Najua hizo lakin2 ni sadaka , kwaajili ya ujenzi wa kanisa ambalo linajengwa..

Mi nimesali kwa Kuhani Musa ila sijawahi ingia ofisini kwake...

Nilikuwa naenda ibadani Tena kwa ku beep ila nimekua kiroho sababu ya mahubiri yake juu ya Yesu Kristo...
sahv hauendi tena? mm nilianza nae tangu sinza mwenge na sasa temboniila nimetoka nipo kigoma nina kilinge changu kama kile cha mshana jr
 
Hakuna pesa yoyote ukitaka kumuona Kuhani Musa
Usitapeliwe Sandali Ali wala usidanganyike
Hakuna fast track wala pesa ya vifaa vya kiroho maana kila ibada vinagawiwa buree labda utake vya ziada
mama D ni kweli kabisa kuhani anaombea watu wote bure radioni na kanisani ila ukitaka kumuona ofisini unatoa sadaka ya ujenzi hata vifaa ukitaka vya ziada unachangia sadaka kidogo
 
Kifupi mitume wa Yesu walijua mia kwa mia kuwa wana kitu cha kutoa uwe uponyaji,nk

Wanaojitia watoa bure matapeli mtu hana kitu anasema ohh njooni wagonjwa wataombewa Yesu hakuagiza wagonjwa waombewe alisema pozeni wagonjwa yaani ponyeni wagonjwa mumepewa huo uwezo toeni bure

Kanisa limeingiliwa na matapeli waombea wagonjwa badala ya waponya wagonjwa

Mibango kila kona ohh wagonjwa wataombewa utapeli mtupu
 
Toa hela wewe, mbona kuwaangalia Liverpool unalipia
😂😂😂
Kwanza hata kwenda huko siwezi.

Acha wanaoenda waende..
Mimi namwamini Mungu na namuomba kila siku na ananisikia.

Hizo tuhuma kama ni za kweli basi anakosea
Hiyo huduma ya kulipia maombi siyo maagizo ya Mungu..
Mfundishw mtu umuhimu wa kutoa sadaka nac Acha mtu awiwe mwenyewe kutoa sadaka.
 
Wakati fulani nikiwa mdhambi nilienda kwa mganga asubuhi. Nikamkuta kachoka hadi nikamuuliza inakuwaje asbh kama umechoka? Akajibu kuwa usiku mzima alikuwa akiwashughulikia wachungaji ambao ni wateja wake. Huyo Kuhani Musa ni mganga wa kienyeji kama ilivyo waganga wengine. Kuna rafiki yangu wa kike nilisoma nae primary nimetokea kumdharau sana baada ya kuanza kuwa mfuasi wa Kuhani Musa.
 
Hakuna pesa yoyote ukitaka kumuona Kuhani Musa
Usitapeliwe Sandali Ali wala usidanganyike
Hakuna fast track wala pesa ya vifaa vya kiroho maana kila ibada vinagawiwa buree labda utake vya ziada
MAMAD KUNA AKUHANI WALIONDOLEWA MAJUZI WALIKUWA WANAFANYA UDALALI KUPITIA JINA LA BABA NA HATA WALIOBAKI WALIONYWA KANISANI..SASA ASIMCHAFUE DADY KWA UPUUZI WA WACHACHE KAMA AMEPIGWA AENDE POLISI NA SIO KUMCHAFUA KUHAN WANGU
 
Back
Top Bottom