Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni hivyo uko mbali sana. Mimi nilienda kanisani mara ya mwisho wakati wa ndoa yangu zaidi ya miaka 20 iliyopitaSikudanganyi...
Wala sitaki uniamini...
Hivyo ndivyo nilivyo kwa Sasa...
Hata wewe ukimuamini Yesu unaweza kuwa...
EHawa ni waganga wa kienyeji. Kila kitu kinachofanywa na waganda wa kienyeji wanafanya. Ramli, hiziri za kuleta miujiza au kukinga. Tofauti kabisa na alivyofanya Yesu.
Hayo yatakuwa ni mapepo ya utambuzi ukadhani ni nguvu ya Roho Mtakatifu 🤔Mkuu, Imani yangu ni level za juu, siongei kwa hisia Nina nguvu za Rohoni...
Naweza kuona kuwa huyu ni Nabii feki au sio...
Hata wewe tukikutana na wewe nakujua mpaka ukoo wako...
Huna mamlaka ya kumuita mtu Wakala wa Ibilisi wakati hujapima Roho kwa njia ya Roho Mtakatifu
Nabii nani?Mi nilipelekwa kwa nabii .Naambiwa matatizo yangu yamesababishwa na Sada kuniibia manii yangu.Ikabidi nikubali nikubali tu ili nisiwauzi walionipeleka.Sijawahi kuwa na mpenzi anaitwa Sada.Dawa michumvi,mimafuta na udongo wa madhabau.
Na kama una imani si unaweza kuomba tu bila vifaa hivyo? Kwanza utajiepusha na kutuhumiwa kuvitumia vifaa hivyo kama hirizi!!Ndio ninatumia kwa jina la YESU...
Maana kama huna Imani havikusaidii
Imeandikwa,Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Elisha Muliri.Nabii nani?
Hivyo vifaa vya kiroho kama huombi kwa jina la YESU havitakusaidia...Na kama una imani si unaweza kuomba tu bila vifaa hivyo? Kwanza utajiepusha na kutuhumiwa kuvitumia vifaa hivyo kama hirizi!!
D mamii,,,Kwa kuwa si dhambi Iwe Kwa malipo au la!!Kwanini Kuhani ni bure?
Wajinga ndio waliwao .Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Kuna mama mmoja kafilisi duka Chanika kisa kadi ya partnership ya kuchangia ujenzi hapo kwa Kuhani.Wajinga ndio waliwao .
Kwa uzoefu wako hivi ukiomba kwa Jina la Yesu bila kutumia hivyo "vifaa vya kiroho" je huwezi kujibiwa maombi yako?Hivyo vifaa vya kiroho kama huombi kwa jina la YESU havitakusaidia...
Haviwezi kuwa hirizi maana unaomba kwa jina la YESU..
Kama mnapotoshwa lazima tuwatoe shimoni.
Yes.
Kama uliwahi kutoa hata sh. mia 1 kwaajili ya kununua kifaa cha kiroho jua kuwa uliuziwa na wakala wa Ibilisi.