Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Za Rohoni au za Roho Mtakatifu...
Ni na macho ya Rohoni pia...
Hii ndio maana ya kukua kiroho...
Bwana YESU atukuzwe
Acha nisali nilale
[emoji2]Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
japo kuna ka utofauti kidogooogoUkifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Kila binadamu ana tatizo Lake la akili, tunatofautiana tu.Hakuna aliyewazuia ila tunasema wana matatizo ya akili kwa kiwango kikubwa.
Nishazoea kuitwa hivyo ..
Ukiongea mambo ya Rohoni lazima uitwe chizi ni kawaida sana...
Kwaajili ya Imani yangu kwa Yesu Kristo hata ukinitukana zaidi ya hapo...
Bado nitakuwa imara...
.....rather he fu.cks u off 4 ur own money😆Ni tapeli anayevaa suti yuko kimara.
You give hime money and he give you hope
Kwanini huyo mungu asituoneshe manabii feki na wasio feki Ili tuwafuate!Kabla ya kumpinga Nabii acha hisia na maneno ya watu acha mazoea na kukariri..
Manabii wa kweli wapo na wa uongo wapo.
Jukumu ni lako kuomba mwalimu Roho Mtakatifu akujulishe na atakujulisha kuwa Nabii ni wa kweli ama sio wa kweli...
Mungu sio powerless sema umekosa maarifa kumfahamu.Kwanini huyo mungu asituoneshe mamabii feki na wasio feki Ili tuwafuate!
Kwanini atuchoshe tumuombe Hadi mtu ulie, huyo mungu wenu mbona katili sana ? Hivi mtoto wako unaweza kutomuonesha sehemu iliyo hatari eti Hadi akuombe Tena Hadi alie Kila siku ? Huyo mungu wenu ni tapeli. Anaruhusu vipi mtu ateketee Kwa kumfuata nabii feki wakati ana nguvu ya kuzui Hilo kutofanyika?
Mungu anaeijua kesho yetu kwanini aruhusu uwepo wa nabii feki aje kuharibu binadamu wasio na hatia.
Mungu wenu ni powerless Hana nguvu yoyote na ni hadithi za kijiweni.
Lakini ni muhimu kukumbushana kuwa wana matatizo ya akiliKila binadamu ana tatizo Lake la akili, tunatofautiana tu.
Ukisikia kuabudu sanamu ndio hv sasa
Huna akiliTena hao wa makobazi ndio walio na Imani na Yesu, na wanatoa shuhuda hatare[emoji1787][emoji1787]
hawa ndio viumbe wamekuja kuharibu sura ya Ulokole, cha kushukuru Mungu hata kwenye umoja wa makanisa ya kipentecost hawamo, wameunda umoja wao wa mitume na manabii, sema kwasababu wana tabia zinazotaka kuelekeana na walokoke ndio maana watu wanawaita walokole, ila hao sio walokole, ni wafuasi wa mitume na manabii.Ukifika pale Temboni unataka kumuona Kuhani Mussa Richard, kuna dau kama ilivyo kwa manabii wengine ila jamaa kaongeza kitu kinaitwa FAST TRACK. Hiyo ukitoa haina foleni, ile unamaliza kuhesabu pesa tu huyu hapa anakufanyia maombi.
Ila msisahau kubeba pesa za kununulia vifaa vya kiroho ambayo pia vina grade zake. Kuna vya matokeo ya papo hapo, na vile vya gradually Yaani mdogo mdogo.
Kama ameshindwa kumuua Shetani nitasemaje ana nguvu ?Mungu sio powerless sema umekosa maarifa kumfahamu.
Mkuu, Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo ni Mungu Mkuu kuliko miungu yote unayoijua wewe, anaweza tatua changamoto yako chini ya sekunde, ila ana kanuni zake: Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Yeye ameweka free-will, halazimishi mtu ila ukifa hatokuwa na huruma na wewe maana ulikataa maarifa na atakukataa wewe usiingie Mbinguni.Kama ameshindwa kumuua Shetani nitasemaje ana nguvu ?
Shetani tunaambiwa na hao viongozi wako wa dini amesababisha maasi makubwa sana duniani ila ameshindwa kumuua au kumuondoa duniani!
Kama serikali tu za binadamu ukifanya makosa unaishia jela huyo mungu wenu anaejiita kuwa na maguvu mbona anashindwa kumdhibi Shetani ambae Kila siku anasababisha madhira makubwa Kwa Binadamu?
Mbona hakumuondoa Idd Amin Dada Hadi nyerere mwenyewe aliamua kumuondoa
Kama huyo mungu mwenye maguvu ameshindwa kumuondoa duniani Shetani wakati kamuumba yeye sisi binadamu tunaweza vipi kukabuliana na Shetani ?
Mungu ni powerless na fiction za juma na uledi