Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Ataelea tuHahahhaha nimecheka sana, sasa hapo ikitokea ajali baharini ataweza kujiokoa kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataelea tuHahahhaha nimecheka sana, sasa hapo ikitokea ajali baharini ataweza kujiokoa kweli?
kazi umbea tuu.Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Hahahahaaa.Ngoja nii download kabisa, CCM hawaaminiki. Wanaweza kuifuta muda wowote na kukanusha Rais hajawahi kuvaa lifejacket
Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Big mistakeWalioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
😂😂😂😂😂😂😂😂bora tozo ya vidole hapa wanaangalia ka uwezekano ka kuipachika tozo kwenye bill ya maji
Lifejacket haijambana , yeye ndo kaibana lifejacket!Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
itakuwa hakuna saizi yakeWalioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Chifu hangaya hawezi kuzamaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeamini sasa kuwa Maza anadharauliwa sana na waliomzunguka.
Hapo akitumbukia kwenye maji hiyo life jacket inamvuka fasta