Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo katoka nayo ikulu mbona size yake kabisaWalioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Sasa umeandika nini,kwambamba,tunaongeza tozo , kwani sie tumekua MWIGULU, Ya muwe madarakani na mvulunde,then lawama wapatiwe wenye nchi, au umelewaNyie wanenguaji huwa mnanengua hata mtu akipiga chafya. Ni lazima kila utawala na ninyi kuwepo?
Mnakosa akili na ubunifu mnaongezea Tozo na Kodi kwa maskini muwe mnazunguka zunguka tu nchi mbalimbali...
Wapo bussy na MboweKwahyo timu ya presidaa hawakuona hilo kabla
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatariiWalioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Iko poa tu.Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Hiyo timu ya raisi naona inasingiziwa, kwani yeye mwenyewe mama Samia haoni kuwa hilo jacket halimtoshi?
Mkuu punguza jazba!!Acha ujuaji wa kishamba wewe!
Hili tatizo la kujitia unaelewa kila linaboa sana!