Kumvisha Rais Life Jacket inayobana kiasi hiki sio sawa

Kumvisha Rais Life Jacket inayobana kiasi hiki sio sawa

Nimekuwa nikiangalia namna ambavyo wizara ya utalii na mali asili wamekuwa wakim-treat raisi wetu kwenye mambo yao ya Royal tour nikajiuliza maswali mengi sana.
Hivi kwenye hii movie, raisi Samia amepewa hadhi ipi? Je ni mhusika wa kawaida tu ama mhusika ambaye pia ni raisi?
Maswali yangu haya ni kutokana na namna ambavyo raisi wetu amekuwa akivalishwa. Mara nyingi amekuwa akivalishwa nguo ama vitu vinavyomdhalilisha utu wake ama kuudhalilisha uraisi.
Kule mafia walimvalishia life jacket under size ambayo ilimfanya mama sehemu yake ya mbele kifuani kuwa wazi kabisa. Pia nguo walizomvalisha za maafisa wa wanyapori hazina staha kabisa.
Uwiano wa eneo la juu na la chini la mama haliko sawa kwa sababu ya mavazi haya. Kiukweli hayapendezi na hayana heshima kabisa.
Sasa haya yote yanatokea huku watumishi wa Ikulu pamoja na TISS wenye dhamana ya kuulinda utu wa raisi wakiwepo.
Je haya yanatokea kwa bahati mbaya au ndivyo yalivyopangwa yatokee?
TISS mjirerekwbiahe, mheshimuni raisi na kumlinda, ifanyeni kazi yenu mlioaminiwa kuifanya ya kumtunza raisi kwa umakini.
Sidhani kama kuna ma professor wa chuo kikuu hasa udsm kama prof Winieaster Anderson, maana vitu vingine vinahitaji akilia Kubwa. Wabobezi wa filamu kama akina Mona Mwakalinga sijui kama kwenye hiyo tour wapo.
 
Nimekuwa nikiangalia namna ambavyo wizara ya utalii na mali asili wamekuwa wakim-treat raisi wetu kwenye mambo yao ya Royal tour nikajiuliza maswali mengi sana.

Hivi kwenye hii movie, raisi Samia amepewa hadhi ipi? Je, ni mhusika wa kawaida tu ama mhusika ambaye pia ni raisi?
Maswali yangu haya ni kutokana na namna ambavyo Rais wetu amekuwa akivalishwa.

Mara nyingi amekuwa akivalishwa nguo ama vitu vinavyomdhalilisha utu wake ama kuudhalilisha uraisi.

Kule mafia walimvalishia life jacket under size ambayo ilimfanya mama sehemu yake ya mbele kifuani kuwa wazi kabisa. Pia nguo walizomvalisha za maafisa wa wanyapori hazina staha kabisa.

Uwiano wa eneo la juu na la chini la mama haliko sawa kwa sababu ya mavazi haya. Kiukweli hayapendezi na hayana heshima kabisa.

Sasa haya yote yanatokea huku watumishi wa Ikulu pamoja na TISS wenye dhamana ya kuulinda utu wa raisi wakiwepo.

Je, haya yanatokea kwa bahati mbaya au ndivyo yalivyopangwa yatokee?

TISS mjirerekwbiahe, mheshimuni raisi na kumlinda, ifanyeni kazi yenu mlioaminiwa kuifanya ya kumtunza raisi kwa umakini.
Mbona unamkodolea Macho Rais wetu?
 
Hivi inatengenezwa filamu au Documentary ??

JF ya siku hizi imejaa takataka tupu, useless.
 
Acha ujuaji wa kishamba wewe!

Hili tatizo la kujitia unaelewa kila kitu linaboa sana!
Nguo alizovishwa Rais zinakusudi maalum, haikuwa lengo kuwa ni vazi la mtoko!

Lile ni vazi maalum kama zilivyo combart!
Hata kama unapenda style ya mavazi huwezi shona kimini cha combat!

Ujuaji ujuaji mwingi haufai
Vazi maalum ambalo halimtoshi mtu ni vazi hilo? Ile life jacket pia ilikua vazi maalum?
 
Nafikiri swali lako la msingi ni kufahamu uhusika wake kwenye filamu. Jikite hapo.

Kila scène na namna yake, achana na mavazi…. hata akipewa uhusika wa kichaa wewe heshimu kazi ya sanaa.
 
Hivi inatengenezwa filamu au Documentary ??

JF ya siku hizi imejaa takataka tupu, useless.
Hii ni hatari sana. Jf ya takataka sijui inakuwaje inawaache watu makini kama hawa wawe sehemu ya utakataka.
 
Pole, hii kwako sio ujuaji? Nani kakulazimisha kusoma na kutoa maoni? Ujuaji tu, japo ujuaji ni mzuri!
Acha ujuaji wa kishamba wewe!

Hili tatizo la kujitia unaelewa kila kitu linaboa sana!
Nguo alizovishwa Rais zinakusudi maalum, haikuwa lengo kuwa ni vazi la mtoko!

Lile ni vazi maalum kama zilivyo combart!
Hata kama unapenda style ya mavazi huwezi shona kimini cha combat!

Ujuaji ujuaji mwingi haufai
 
Mkuu huyu wachana naye, kwanza kachanganya maneno mawili kwa lugha mbili tofauti. Kwenye andiko hakuna neno 'filamu' , sasa kaliibua na kuongezea mengine. Hii yote ni frastrations!! [emoji2957] [emoji2957]
Wao wanasemaje? Na documentary kwa kiswahili inaitwaje
 
Hiyo life jacket ni sawa sawa kabisa .........huo ni mfano kamili kwake atambue hata Sisi hiyo miamala anayotuwekea inatubana kama Ile life jacket....soon tutashindwa Hadi kupumua
 
Nmejikuta tu nawaza kama ikitokea angekua ndani ya maji angekua half submergred yani haelei wala hazami


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom