Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,116
- 4,979
nimeuona huu uzi sijui kwanini sikuufungua toka asubuhi ungenisaidia kupunguza stressWanavaa ya nini wakiwa nchi kavu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeuona huu uzi sijui kwanini sikuufungua toka asubuhi ungenisaidia kupunguza stressWanavaa ya nini wakiwa nchi kavu?
Hapa sijajua umemaanisha nn😲😲,Mleta mada umechanganya mambo,Kwani huyo pichani ni Rais au mama samia suluhu hassan.Mleta mada ingependeza zaidi heading yako ingesomeka
"Kumvisha mama samia suluhu hassan Life Jacket inayobana kiasi hiki sio sawa"
Sidhani, mama ana umbile pana kifuani. Kosa lao ni kutokujua size yake ya kifua na kumvisha litakalomtosha, hilo lingeweza kumnyonga kama lingetokea la kutokea.Saizi yake isingepatikana, inaonekana ndani kavishwa BULLETPROOF!
Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Mimi ninachojiuliza, je kulikuwa na umuhimu wa mama kuvaa hilo jacket wakati anaona kabisa halimtoshi? Au hajui size yake, au amelazimishwa? Mbona hiyo mheshimiwa pembeni yake hajavaa? Au ndio kutudanganya kama Waziri Gwajima na mwenzie wakinywa ile mizizi kumbe bosheni tu, leo wanasema chanjo muhimu.Profesa Juma Assad alisema:
"90% ya viongozi wa Tanzania ni wajinga".
Kwa hiyo hata hawa wasaidizi wa mheshimiwa rais wanaangukia kwenye nadharia ya profesa Assad.
saivi anabutua butua mkuuNaona mnajitahidi kumlinda na kumtetea Rais wenu mpendwaa kama mlivyosema mwanzo anaupiga mwingi
Umenifanya nicheke sanaWalioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Mfanfanyio huyo mama Mungu anawaona ,Nyie wanenguaji huwa mnanengua hata mtu akipiga chafya. Ni lazima kila utawala na ninyi kuwepo?
Nyie wanenguaji huwa mnanengua hata mtu akipiga chafya. Ni lazima kila utawala na ninyi kuwepo?Mfanfanyio huyo mama Mungu anawaona ,
Nakuunga mkono katika hili, wameyumba pa kubwaInatakiwa mtu wa logistics ajiuzulu kuonesha uwajibikaji.
Hayana tofauti na kanzu aliyovaa Magufuli enzi zake kwenye sherehe ya waislam..,Walioandaa ziara hawakujua kuwa Rais atalazimika kuvaa lifejacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Wa kujibu Hilo swali ndo hawapoKwani kavaa Kama fashion au kujilinda na hatari majini? Tuanzie hapa karibuni