Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa. Aliyemvalisha Mh Rais wetu hii jaketi hajamtendea haki. Ilipaswa jaketi yake iandaliwe mapema sio kuja kumdhalilisha kwa kiasi hiki. Hawa inawezekana wakawa timu ya MATAGA wanaompinga mama katika kila juhudi anazofanya kuiletea maendeleo nchi hii ya Tanzania. Wale wote walioandaa ziara hii, nashauri wafutwe kazi ili liwe funsisho kwa wpuuzi wengine kama wao.Walioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Naunga mkono hojaWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Safari za kushitukiza zinazaa maandalizi ya dharura ambayo mara nyingi huwa hayakidhi uhalisia wa mahitaji.Inatakiwa mtu wa logistics ajiuzulu kuonesha uwajibikaji.
Maisha ya huyu Mama yako hatarini.Hahaha asee hawa watendaji wa huyu mama wanamhujumu hadi kwenye mambo kama haya ya mwonekano.
Hapo utakuta wamemsifia kabisa "imekufit vizuri kabisa mheshimiwa"
Nisamehe kwa lugha ya kuudhi pia mkuu nitafuta nawe ufute hiyo quote.Sawa. Kuna baadhi ya miCCM hasa MATAGA hawamtakii mema mkuu. Nilipoona unatetea nikajua nawe umo kumbe sio. Sorry. miCCM ni mijitu ya ajabu sana. Hata hizo tozo nadhani kuna baadhi ya miCCM inapenda ziendelee ili kumharibia mama.
Hiyo ni photo shop,
Chunguza mkono unatokea kwenye sikio [emoji23]
wamemfungafunga kama kuniWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Nyie wanenguaji huwa mnanengua hata mtu akipiga chafya. Ni lazima kila utawala na ninyi kuwepo?Mama kapendeza Sana, ila watu wake wanachofanyia , inatia mashaka Sana, kazungukwa na chatu, rais shutuka
Aisee wamemvalisha kijasti bikozi kwenye Royal TourHuu ni udhalilishaji Kwa rais wenu
Angeahirisha hii ziara kuliko aibu hii!Simlisema anaupiga mwingi sana , subirini tozo mpaka za kunya na kukojoa nyambaf , mnahangaika na mambo sijui ya kubanwa na nini, sasa kama mwili mkubwa hana saizi mlitaka kitu gani labda