Kwenye bill ya maji, siyo? ili twende sawa na walipaji wa bill ya umeme..........ngoja nimwite fasta waziri wa tozo aje achukue hapa chanzo kingine cha mapato, si bure wewe utakuwa na undugu na Zungu, maana si kwa kubuni huku vyanzo vipya vya mapato............ππππππππbora tozo ya vidole hapa wanaangalia ka uwezekano ka kuipachika tozo kwenye bill ya maji