Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Bora asingevaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote viwili.Mleta mada umechanganya mambo,Kwani huyo pichani ni Rais au mama samia suluhu hassan.Mleta mada ingependeza zaidi heading yako ingesomeka
"Kumvisha mama samia suluhu hassan Life Jacket inayobana kiasi hiki sio sawa"
Kweli kabisa inabidi wachukuliwe hatua, kwa kutokujipnga mapema.Walioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
mazombi, mimi nasemaga ukiona limtu hata darasa la nne halijafika na liko mule linapigapiga meza ujue hamna kituuuuu, mwenzao alitoa siri zao kwamba hawalipi kodi, basi imekua taaabu wakati ni ukweli hayalipi chochote yanapigapiga meza tu kama mataahiraYanararuana bungeni badala ya kujadili tozo
Jerry ameonewa lkn amegeuka kuwa shujaamazombi, mimi nasemaga ukiona limtu hata darasa la nne halijafika na liko mule linapigapiga meza ujue hamna kituuuuu, mwenzao alitoa siri zao kwamba hawalipi kodi, basi imekua taaabu wakati ni ukweli hayalipi chochote yanapigapiga meza tu kama mataahira
Kwa vyombo vya Usalama hiyo si safari ya kushitukiza ila kwa sisi wananchi ndio inakuwa ya kushitukiza. Hakuna sababu ya kujitetea kuna mtu hapa hajatimiza wajibu wake. Hii ni fedhea kwa taasi yenye kuhakikisha usalama wa kiongozi. Mtu awajibishwe ili iwe fundisho.Safari za kushitukiza zinazaa maandalizi ya dharura ambayo mara nyingi huwa hayakidhi uhalisia wa mahitaji.
Kama photo shop sawa ila kama ni kweli ni vema mtu akawajibishwa maana hii ni aibu ya taasisi.Hiyo ni photo shop,
Chunguza mkono unatokea kwenye sikio [emoji23]
Kiukweli wahusika wamezingua! Hawajamtendea haki Rais wetu.Sio vizuri wahusika.
Ni vyema angetoka simple kama Rais wa serikali ya mapinduzi zanzibar, tatizo inaonekana mama ni mbishi…Bora asingevaa
Huwenda kuna mengi unayajua, embu tueleze kwani kifo cha Hayati Magufuli kilitokana na uzembe wa wasaidizi wake?Mke wa mwinyi hapo imemkaa sawia na kapendeza mashallah, kwanini wanamemfanyia hivi Rais wetu? Kimuonekano na kiusalama 0%
Utashangaa kuna watu wanateteea na hili! Hatutaki kifo cha Rais, tumejifunza tafadhali.