mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Laki si anapiga picha za utalii tatizo liko wapi?Life jacket ya kumfaa mama ama xx large au xxx large. Watendaji wamekosea sana kumvisha jaketi size medium. Watendaji wa wajibishwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laki si anapiga picha za utalii tatizo liko wapi?Life jacket ya kumfaa mama ama xx large au xxx large. Watendaji wamekosea sana kumvisha jaketi size medium. Watendaji wa wajibishwe.
Hata kama utavaa mtutu ndani unataka kuniambia hayo madude Ni medium size tu Mkuu HAKUNA XXXL?Saizi yake isingepatikana, inaonekana ndani kavishwa BULLETPROOF!
Maana yake hiyo akitumbukia kwenye maji atazama. Huyo aliyempa hiyo life jacketi tutamuunganisha kwenye kesi ya Mbowe. Kupanga kuua viongozi wa serikali huku akijua fika ni kinyume na sheriaWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe.
View attachment 1917836
Uzembelabda hazikuwepo saizi yaye
Ibaki hivohivyoAtakuwa kashitukiza. Ila hata walinzi wake sio kabisa.
hata mimi bana 😆 😆Nasubiria katuni ya Kipanya...
Hahaaaa 😂😂😂😂😂😂 kwamba anapanga kuua viongozi.Maana yake hiyo akitumbukia kwenye maji atazama.Huyo aliyempa hiyo life jacketi tutamuunganisha kwenye kesi ya Mbowe. Kupanga kuua viongozi wa serikali huku akijua fika ni kinyime na sheria
Sasa YEYE atakataa vipi kitu kilichoandaliwa na wasaidizi wake na usama wake, swali jepesi sanaIna maana yeye hana akili ya kuona Hilo jacket halimtoshi?
Yaani[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji23][emoji23][emoji23]kuongoza Watanzania inatakiwa uwe na moyo wa chuma
Mama kaweka Tozo ili watu wawe bizze lakini wapiYaani[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Cc dmkali kuja huku wabongo kwa ujuajiWalioandaa ziara hawakujua kuwa rais atalazimika kuvaa life jacket wakaandaa size yake? Convoy ya logistic bado wapo kwenye ziara au ndio kuhujumiana kwenyewe. Aliyemvisha hakumtendea haki kabisa.
Wamuache mama ajenge nchi jamani.Mama kaweka Tozo ili watu wawe bizze lakini wapi