Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Siyo kweli, famfa hizo.Huyu kashawekewa mara 2 dawa za kuacha pombe na dada yake lakini wapi? Pombe ni uraibu ambao hausikii dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kweli, famfa hizo.Huyu kashawekewa mara 2 dawa za kuacha pombe na dada yake lakini wapi? Pombe ni uraibu ambao hausikii dawa
Hapana gerezani kabisaKuna lock up ya polisi na mahabusu, ilikuwa ni mahabusu mkuu ?? So aliachiwa au walitoa kitu kidogo
Hebu nipe connection mkuu nimnunulie dingi yangu.Dawa za kuacha pombe mbona zipo?;ni kitu nimehakikisha na ni shuhuda kwa macho yangu.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134],Jela hakufai.Jela kila kitu kinapatikana mzee akiwa na sabuni za kutosha anafanya biashara ya kubadilishana tu hata ganja atanyonga ila kama hana kitu na anapenda pombe akikubali tu kuwa mke wa mtu hata ugali maharage atauskia kwa wenzake ye atakua anakula rosti tu na kazi ngumu hafanyi
Sasa kuwa makin asije kurudi akiwa bwabwa.
Kwamba wote wanaoenda jera wanarudi wakiwa Mashoga?.Utampeleka mlevi anaacha anarudi na USHOGA . Bora nini !!??
Fanya PROB Analysis .. Nimekuwa afisa jela .. Kabla kuwa afisa ushirika .... Anachotaka kufanya jamaaaa kitamgharimu maisha yake yote .... Maafisa jela ni zaidi ya watu ... Amini ...Kwamba wote wanaoenda jera wanarudi wakiwa Mashoga??.
Kuna kijana alipokea mshahara akanywea wote pombe. Asubuhi alipoamka akasema sinywi tena pombe, ilikuwa 2018 hadi leo hajagusa pombe.Mkuu hakuna chenye utafanya wewe kimzuie huyo nduguyo kunywa pombe.
Siku zote mabadiliko ya aina yoyote huanzia ndani ya nafsi ya mtu mwenyewe. Bila yeye kuamua hakika nakuambia hataacha.
Unachoweza kumsaidia ni kumtafutia mtaalamu wa counseling ili azungumze nae. Wao wana mbinu nyingi za kuweza kuongea na mtu na kumshawishi aone maisha katika angle ya toauti.
Counsel ya mtaalam inaweza kuwa ndio chanzo cha inner drive ya yeye kujitafakari na kufikiri kuhusu kuacha pombe.
Kumwacha aende gerezani haitakuwa suluhu zaidi itakuwa ndio umeongeza tatizo. Gerezani sio sehemu nzuri.
Kuingia nyumbani saa 12 nalo ni tatizo kubwa zaidiMwache akapumzike akirudi atakuwa kanyooka.. Mitaa ninayoishi kuna mmoja alikuwa hivyohivyo..kaswekwa mahabusu wiki tatu tuu karudi kanyooka kama rula nyumbani anaingia saa 12
Jela za kitanzania ndugu hapana, najua inachosha sana kubeba matatizo yake lkn nakuomba usimwache aende jela.UPDATE: Nimepewa wazo na Mshana Jr na Daudi Mchambuzi kumuacha Polisi au mahabusu muda mrefu, Bado naendelea kupokea maoni
Kuna ndugu yangu ni mlevi sana, Mara kwa mara nimelazimika kumtoa kituo cha polisi kwa kuwapa pesa za kubrashia viatu ma afande ambao tunajuana, Matatizo hayo yanatokea kwasababu ya ulevi wake wa pombe.
Kazi anafanya za ujenzi wa nyumba, kuchoma na kuuza matofali, kufyatua matofali , n.k n.k, Ni kijana mchapa mwenye mwili wenye misuli iliyojaa na mchapa kazi ila pombe inamharibu
Sasa nimeona labda aende tu huko gerezani maana kosa lake ni la mwaka 1 na nuu hivi gerezani endapo nisipomtoa.
Kesi yake nimeshaifatilia huwa inasikilizwa haraka mahakamani na hukumu hutokewa papo hapo,
Sasa nimeona huenda akienda huko jela hio sumu ya uraibu itamtoka.
Je, nichukue huu uamuzi?
Huyo ni kumchanganyia madawa kwenye pombe tu atapike mpaka akili inayomtuma aende bar!UPDATE: Nimepewa wazo na Mshana Jr na Daudi Mchambuzi kumuacha Polisi au mahabusu muda mrefu, Bado naendelea kupokea maoni
Kuna ndugu yangu ni mlevi sana, Mara kwa mara nimelazimika kumtoa kituo cha polisi kwa kuwapa pesa za kubrashia viatu ma afande ambao tunajuana, Matatizo hayo yanatokea kwasababu ya ulevi wake wa pombe.
Kazi anafanya za ujenzi wa nyumba, kuchoma na kuuza matofali, kufyatua matofali , n.k n.k, Ni kijana mchapa mwenye mwili wenye misuli iliyojaa na mchapa kazi ila pombe inamharibu
Sasa nimeona labda aende tu huko gerezani maana kosa lake ni la mwaka 1 na nuu hivi gerezani endapo nisipomtoa.
Kesi yake nimeshaifatilia huwa inasikilizwa haraka mahakamani na hukumu hutokewa papo hapo,
Sasa nimeona huenda akienda huko jela hio sumu ya uraibu itamtoka.
Je, nichukue huu uamuzi?
Mjomba wangu ana hiyo dawa. Kwa ndugu huwa anawapa bure. Hakuna aliyenyweshwa hiyo dawa akaendelea kunywa pombe.Huyu kashawekewa mara 2 dawa za kuacha pombe na dada yake lakini wapi? Pombe ni uraibu ambao hausikii dawa