Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Hawamshambulii bali wanaelezea utawala wake ulivyokuwa mbovu na matokeo yake, ili watanzania waweze kuona umuhimu wa kubadili mfumo mbovu wa sasa. Usipojua ulikotoka utawezaje kujua unakokwenda? Hitler mpaka sasa anasemwa ili watu kizazi cha sasa kisirudie tena makosa. Wewe unataka kila mtu awe na akili za ''kitanzania'' za kusahau jambo baya kabisa lillotokea?
 
Ngoja msnyooshwe nyie sukuma gang mkiwa hai na mkiwa makaburini
Ni sawa na nyani kucheka nyani mwenzake wakati nae tako linaburuzwa na mawe,
Utakuta unatafuta pa kunywa chai kwa mashemeji zako huku unawacheka sukuma gang
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Magufuli awezekaniki ....mimi napenda wanavyo mshambulia ndiyo anavyo pata nguvu ...maana walimponda ila nchi imewashinda na walio mtia mbowe jela ndiyo wale wale wenzake wanao mponda jpm ....kwa kifupi wahuni wote ni kama wamepigwa na laana na JPM...leo mbowe wa kupanda jukwaani kufungua mkutano wa kisiasa kwa mara ya kwanza huku kalewa chakari [emoji849][emoji849]hiyo ni nini kama siyo laana ya marehemu
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.

Wamemshambulia lini? Mbona mnaishi kwa wasiwasi? Mtu kafa lakini kutwa maneno
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Malizia thread yako.. hujaweka aina ya hayo mashambulizi ili tujiridhishe JPM anashambuliwa ama la!!
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Awe anasemwa kwa uzuri au kwa ubaya mi nashauri tabia ikome tufanye mengine.Lakini kumbuka hata ccm wanamnanga kwenye mikutano ya chama rejea kauli ya makamba wav wema hawafi.Nape mungu kaamuwa ugomvi na kul bungeni.
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Nimeandika nikafuta, ngoja nikae kimya tu.
 

Ni unafiki mtupu. Walewale waliokuwa wanamsifu JPM na kusema aongezewe kumi mingine leo wanamlaani na kumsifu Saa 100. Ni kujipendekeza au kupalilia ungaa tu. Ingratiating themselves
 
Samia hajapora pesa ya mtu wala kupoteza mtu au kumtia mtu kwenye kirobar Coco beach . Akifanya tutamsema Kama jambazi
Kwahio hayo ndio mnaona ndio mapungufu ya kiongozi asiye mzuri. CCM itawale tu hadi mtakapoanza kula murvy
 
magufuli hashambuliwi hata kdg, kinachosemwa ni 'sifa zake alipokuwa hai' kama zilivyo sifa kwa wengine kama Iddi amini, mobutu, hitler na musolini!
Kwahiyo hiyo njia ndio inawasaidia kushinda uchaguzi?
 
Back
Top Bottom