Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawamshambulii bali wanaelezea utawala wake ulivyokuwa mbovu na matokeo yake, ili watanzania waweze kuona umuhimu wa kubadili mfumo mbovu wa sasa. Usipojua ulikotoka utawezaje kujua unakokwenda? Hitler mpaka sasa anasemwa ili watu kizazi cha sasa kisirudie tena makosa. Wewe unataka kila mtu awe na akili za ''kitanzania'' za kusahau jambo baya kabisa lillotokea?Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Bado hujanielewa tu!!Kiukweli leo umeongea bila kuingiza ushabiki
Ni sawa na nyani kucheka nyani mwenzake wakati nae tako linaburuzwa na mawe,Ngoja msnyooshwe nyie sukuma gang mkiwa hai na mkiwa makaburini
Magufuli awezekaniki ....mimi napenda wanavyo mshambulia ndiyo anavyo pata nguvu ...maana walimponda ila nchi imewashinda na walio mtia mbowe jela ndiyo wale wale wenzake wanao mponda jpm ....kwa kifupi wahuni wote ni kama wamepigwa na laana na JPM...leo mbowe wa kupanda jukwaani kufungua mkutano wa kisiasa kwa mara ya kwanza huku kalewa chakari [emoji849][emoji849]hiyo ni nini kama siyo laana ya marehemuHabari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Unahangaika na wapumbavu. Wamewakatisha tamaa wapiga kura waoKwahiyo hiyo ndio inawasaidia wapinzani kushinda uchaguzi?
Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Malizia thread yako.. hujaweka aina ya hayo mashambulizi ili tujiridhishe JPM anashambuliwa ama la!!Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Tuna wana siasa wasio na akiliTuna wanasiasa wa hovyo sana nchi hii
USSR
Awe anasemwa kwa uzuri au kwa ubaya mi nashauri tabia ikome tufanye mengine.Lakini kumbuka hata ccm wanamnanga kwenye mikutano ya chama rejea kauli ya makamba wav wema hawafi.Nape mungu kaamuwa ugomvi na kul bungeni.Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Nimeandika nikafuta, ngoja nikae kimya tu.Habari wakuu,
Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.
Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?
Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Pia tuna wananchi wajinga sana hapa Tanzania.Tuna wanasiasa wa hovyo sana nchi hii
USSR
Kwahiyo kufanya hivyo ndio inawasaidia wapinzani kuchukua nchi?
Samia hajapora pesa ya mtu wala kupoteza mtu au kumtia mtu kwenye kirobar Coco beach . Akifanya tutamsema Kama jambaziM
Mfumo unamlisha sahizi hawezi ongea mbovu juu ya sa100
Kwahio hayo ndio mnaona ndio mapungufu ya kiongozi asiye mzuri. CCM itawale tu hadi mtakapoanza kula murvySamia hajapora pesa ya mtu wala kupoteza mtu au kumtia mtu kwenye kirobar Coco beach . Akifanya tutamsema Kama jambazi
Mimi la muhimu kiongozi asiwe muuwaji na jambaziKwahio hayo ndio mnaona ndio mapungufu ya kiongozi asiye mzuri. CCM itawale tu hadi mtakapoanza kula murvy
Kwahiyo hiyo njia ndio inawasaidia kushinda uchaguzi?magufuli hashambuliwi hata kdg, kinachosemwa ni 'sifa zake alipokuwa hai' kama zilivyo sifa kwa wengine kama Iddi amini, mobutu, hitler na musolini!