Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Kuna agenda gani ya Upinzani kumshambulia Hayati Magufuli?

Mlifurahia sana wkt anatutesa wapinzani, leo ni zamu yenu kulia juu ya magufuri kwa kile alichotufanyia .. hakuna aliyelipwa kumchafua magufuri , tunakumbushia kile alichotufanyia tu... Tulikuwa kifungoni tuacheni tumnange mpk tutakapoona imetosha .. poleni mnaoumia kuhusu kusemwa magufuri

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Ni wazi unafaidi matunda ya uovu was system iliyopo.Sawa,ila uovu hauna mwisho mzuri.Magufuli died for what he stood for,kutetea well being ya Watanzania walio wengi na usalama wa rasilimali zao.Je wewe uta acha legacy gani utakapo ondoka duniani?Good or bad,jitathmini
 
Nimekwambia unioneshe nyuzi nilizoandika kumsifia Magufuli umeshindwa hiyo hoja yako itakuwaje na mashiko
Honestly ndugu Hziyech22, sitakosea nikisema kuwa wewe ni "mjinga 100%" kwa kuwa masikini wewe wa UFAHAMU na UELEWA hata hujui unaandika kutetea nini..!!

Hebu nijibu kwanza maswali haya:

1. Umeisoma post yangu #10 na kuilewa au umekurupuka tu kunikwoti kujibu..?


2. Je, Kuna mahali nimekunanga kwa kuwa unamtetea Magufuli..?

##Sikiliza bwana. I am not stupid and ignorant like you kiasi cha kukushambulia eti Kwa kuwa una maoni hasi kuhusu kiongozi fulani awe hai au amekufa..!!

##Wewe uko HURU kumsifu na pengine umwabudu kabisa hayati Magufuli Kwa kadiri ya kupenda kwako..!!

##Lakini na wewe vivyo hivyo usiwe na shida au tashwishwi na wale wanaoukosoa uongozi wake na pengine hata kumkosoa na kumlaani yeye binafsi. Huo ndiyo uhuru wenyewe..!!
 
Honestly ndugu Hziyech22, sitakosea nikisema kuwa wewe ni "mjinga 100%" kwa kuwa masikini wewe wa UFAHAMU na UELEWA hata hujui unaandika kutetea nini..!!

Hebu nijibu kwanza maswali haya:

1. Umeisoma post yangu #10 na kuilewa au umekurupuka tu kunikwoti kujibu..?


2. Je, Kuna mahali nimekunanga kwa kuwa unamtetea Magufuli..?

##Sikiliza bwana. I am not stupid and ignorant like you kiasi cha kukushambulia eti Kwa kuwa una maoni hasi kuhusu kiongozi fulani awe hai au amekufa..!!

##Wewe uko HURU kumsifu na pengine umwabudu kabisa hayati Magufuli Kwa kadiri ya kupenda kwako..!!

##Lakini na wewe vivyo hivyo usiwe na shida au tashwishwi na wale wanaoukosoa uongozi wake na pengine hata kumkosoa na kumlaani yeye binafsi. Huo ndiyo uhuru wenyewe..!!
Wewe umesema namsifu Sana Magu na hapo pia umerudia ndio nimekwambia nioneshe uzi zangu zinazoonesha nikimsifu Sana Magufuli ili ujustfy unachozungumza
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikifatilia mikutano ya Upinzani kiukweli kuna kitu nimekiona na kinanishangaza na sijui ni mimi tu nimeona Hili au na wenzangu mmeona.

Wapinzani wamejikita kwenye kumshambulia marehemu sasa nimejiuliza inaaama Wapinzani wanashindana kisiasa na Magufuli?

Kuna nini nyuma ya Hili? Lakini hao hao Wapinzani wakibwagwa kwenye uchaguzi na CCM ya Mama samia watalalamika wameibiwa kura.
Kabla ya kutaka kujua ni kwa nini jamaa amekuwa akiongelewa na viongozi mbalimbali wa vyama vya kisiasa hasa waliopo upande wa vyama vya upinzani kwa mitazamo hasi, labda kwanza ungeenda mbali kwa kujiuliza na kutaka kujua hivi ni kwa nini iwe hivyo kwake tu, na wala siyo kwa Mwl. Nyerere, Mzee Mwinyi, Mkapa, Jakaya na sasa kwa Madam SSH?

Kwanza sikubaliani na wewe kuwa hiyo ni ajenda, bali ni mitizamo yenye kuakisi ubovu wa utawala wake katika masuala yenye kuzingatia utawala bora. Mtu ambaye aliminya uhuru na demokrasia, mtu aliyevunja katiba na sheria kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kisiasa, na pia mtu aliyetumia vibaya madaraka yake kwa kuvikandamiza vyama vya upinzani, hivi kumbukimbu kama hii mbaya inaweza kuachwa ikapita hivi hivi bila ya hata kuikemea na kujiangalia wapi kama taifa tulipojikwaa na kuangukia!

Utawala wake ulikuwa ni wa hovyo sana, kiasi kwamba hatuhitaji tena mtu wa namna yake apewe tena dhamana ya juu kabisa ya uongozi katika nchi yetu. Ameacha sifa nyingi mbaya huku akiwa amejificha katika ukabila, ukanda, udini kwa kisingizio cha kuwatetea wanyonge.
 
Walio mitandaoni wengi sio wananchi wale wanao mpenda Magufuli.

Ukienda vijijini huko ukajaribu kumdhihaki Magufuli nakwambia wananchi wa huko lazima watakula kiboga chako amini kwamba.
 
Wewe umesema namsifu Sana Magu na hapo pia umerudia ndio nimekwambia nioneshe uzi zangu zinazoonesha nikimsifu Sana Magufuli ili ujustfy unachozungumza
Iwe uliwahi kumsifu au hujawahi kumsifu, it doesn't matter na sihitaji kukuonesha hilo Kwa sababu that's not my point..

Kwa kuwa wewe ni mgumu wa kuelewa, basi acha nikuambie kwa lugha rahisi;

Kwamba, hakuna makosa yoyote watu kutoa maoni yao iwe kwa kukosoa, kulaani, kusifu na hata kumwabudu kiongozi wao fulani awe hai au aliyekufa maana huo ndiyo uhuru wenyewe ili mradi mtu havunji sheria yoyote ya nchi...

Na kwani wewe shida yako ni nini iwapo kuna baadhi ya watu wanaulaani au kuusema vibaya uliokuwa uongozi wa hayati Rais John P. Magufuli..?

Hata wewe chagua tu upande. Wa kukosoa na kulaani au wa kusifu na kuabudu au kuwa katikati (neutral) kwa kutoa hoja za ku - counter attack hoja za upande wa pili. Na ukimaliza, sepa mbele na acha maisha yaendelee..

Ukielewa kuwa ubinadamu wetu unakamilika kwa uwepo wa tofauti hizi za kimitizamo, hutapata shida bali utapambana na hali yako vyema kabisa huku ukiwa huna stress yoyote..

Usiku mwema na naamini umenielewa sasa ndugu Hziyech22 ..
 
Kabla ya kutaka kujua ni kwa nini jamaa amekuwa akiongelewa na viongozi mbalimbali wa vyama vya kisiasa hasa waliopo upande wa vyama vya upinzani kwa mitazamo hasi, labda kwanza ungeenda mbali kwa kujiuliza na kutaka kujua hivi ni kwa nini iwe hivyo kwake tu, na wala siyo kwa Mwl. Nyerere, Mzee Mwinyi, Mkapa, Jakaya na sasa kwa Madam SSH?

Kwanza sikubaliani na wewe kuwa hiyo ni ajenda, bali ni mitizamo yenye kuakisi ubovu wa utawala wake katika masuala yenye kuzingatia utawala bora. Mtu ambaye aliminya uhuru na demokrasia, mtu aliyevunja katiba na sheria kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kisiasa, na pia mtu aliyetumia vibaya madaraka yake kwa kuvikandamiza vyama vya upinzani, hivi kumbukimbu kama hii mbaya inaweza kuachwa ikapita hivi hivi bila ya hata kuikemea na kujiangalia wapi kama taifa tulipojikwaa na kuangukia!

Utawala wake ulikuwa ni wa hovyo sana, kiasi kwamba hatuhitaji tena mtu wa namna yake apewe tena dhamana ya juu kabisa ya uongozi katika nchi yetu. Ameacha sifa nyingi mbaya huku akiwa amejificha katika ukabila, ukanda, udini kwa kisingizio cha kuwatetea wanyonge.
Hziyech22 soma vizuri ukiwa umetuliza akili yako andiko hili la ndugu mbenge ili upanue UELEWA na UFAHAMU wako...

Acha kujifungia ndani ya box 🎁🎁🎁 la propaganda za kuupa promo ujinga. Ukijibu hii hoja ndugu Hziyech22 , tafadhali nitag na mimi ili nisome mtazamo wako
 
Roho inakuuma unaposikia Jina la mr President likitajwa hapo haipo ila anawaumiza vichwa
 
Back
Top Bottom