Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda pharmacy ulza sitcom tablet unameza asubuhi na jioni ila zina bei kdgo zikirudi niite Hassan mwakinyo mcheza baikoko Bondia wa muchongo nipo TabataKuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi
Dawa yake ni vyakula tu vya aina ya nyuzi nyuzi na matunda na kunywa maji mengi, na usile vyakula vya wanga sana mfano ugali mikate.Kuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi
Ushauri wa bure kabisa, Bawasili inatibika vizuri hospitali. Kama ni in early stages hosp utaandikiwa antihaemorrhoid suppositories, ila kama imekwishakua kubwa unafanyiwa operation na inapona. Achana na dawa za kienyeji, zitaifanya iwe sugu then upate complication na gharama kubwa kutibu.Kuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi
Naunga mkono hojaDawa yake ni vyakula tu vya aina ya nyuzi nyuzi na matunda na kunywa maji mengi, na usile vyakula vya wanga sana mfano ugali mikate.
Kiasi gan nakunywa glass moja auChukuwa alovera (ondoa miiba) kata vipande vidogo, changanya na tikiti maji ila usiondoe maganda yake na mbegu. Hiyo juice yake ni chungu sana ila kunywa nusu kikombe asubuhi na jioni siku tano. Ni tiba ya asili ya bawasili.
Dozi ni elfu 60 una meza kimoja asubuhi kimoja jioni kwa siku 7Bei gan na kunamtu katumia akapona?
Ale mboga za majani sana mfano kabichi na matunda kama ndizi, parachichi.Dawa yake ni vyakula tu vya aina ya nyuzi nyuzi na matunda na kunywa maji mengi, na usile vyakula vya wanga sana mfano ugali mikate.