Kuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi

Kuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi

Cha mwisho kabisa kuzingatia ili bawasiri isikusumbue, ukisikia unataka kwenda haja subiri hadi iwe karibu kabisa habari za kwenda toilet kisha unajikakamua sana haifai kwa afya yako, unatakiwa ukifika mzigo ni kushusha tu ndo maana tunashauriwa kula sana vyakula vya nyuzinyuzi ukishindwa basi zingatia sana mapapai mkuu choo kisiwe kigumu kutoka
 
Mafuta ya habat soda [black seed ] ni dawa tumia kupakaa eneo huska tu
 
Nichek inbox brother, mm nimetumia dawa za asili kabisa na nipo fresh
 
Tiba ilyo bora ni kubadirisha ulaji wako, usitumie vyakula vinavyotengenezwa Kwa ngano, mfano chapati maandazi n.k, kula mihogo viazi na mboga za majani, Pia punguza kula wali kula zaidi ugali. Upande wa matunda usile ndizi mbivu kula za kupikwa.
 
Mleta mada chukua huu ushauri wa huyu jamaa. Mimi mwenyewe nimetoka kumnunulia wife dawa anatumia majuzi alijiskia kupata maumivu sehemu ya haja kubwa akaniambia nikamcheki jamaa yangu akanipa dawa yeye ni doctor kwa stage ya mwanzo unapewa dawa ya kupaka ndani ya wiki unapona maana now wife yupo karibu kujifungua na alitumia wiki moja tu. Lakini pia kujua chanzo inasaidia kuepusha madhara ya baadae. Mfano hapa kwangu tunatumia vyoo vya kukaa toka wife kapata tatizo nikashauriana nae atumie choo cha kawaida na kapona fast ila angeendelea kutumia choo cha kukaa ingetumia muda kupona. Na kwa wanawake wajawazito inawatokea inaweza isiwe mimba ya kwanza ikatokea hata ya tatu ila kikubwa kuwahi matibabu dawa za mitishamba ni dawa za kutumia kila wakato sio wakati wa magonjwa ndio unaziparamia hutapona
Ulinunua dawa gani
 
Dawa nzuri ya Bawasiri ni mlonge, chemsha majani yake kunywa maji hata zaidi ya glass tatu kwa siku, au tafuna mbegu zake ila mbegu zinachefua sanaa..
 
Sikiliza radio one, kipindi cha gumzo , kuna jamaa anazijua dawa kama zote, kuna waliopona magonjwa mbalimbali kwa kusikiliza ushauri wake. Jina lake Abuu Bakari.
 
Hili janga liliniharibia demu wangu mrembo kama malaika.

Hili tatizo likimpata mwanamke anapoteza kujiamini na hisia zake zinakata kwenye tendo.
 
Back
Top Bottom