Kuna aliepona bawasili kwa dawa asili au aliefanya operation akawa safi

Cha mwisho kabisa kuzingatia ili bawasiri isikusumbue, ukisikia unataka kwenda haja subiri hadi iwe karibu kabisa habari za kwenda toilet kisha unajikakamua sana haifai kwa afya yako, unatakiwa ukifika mzigo ni kushusha tu ndo maana tunashauriwa kula sana vyakula vya nyuzinyuzi ukishindwa basi zingatia sana mapapai mkuu choo kisiwe kigumu kutoka
 
Mafuta ya habat soda [black seed ] ni dawa tumia kupakaa eneo huska tu
 
Nichek inbox brother, mm nimetumia dawa za asili kabisa na nipo fresh
 
Tiba ilyo bora ni kubadirisha ulaji wako, usitumie vyakula vinavyotengenezwa Kwa ngano, mfano chapati maandazi n.k, kula mihogo viazi na mboga za majani, Pia punguza kula wali kula zaidi ugali. Upande wa matunda usile ndizi mbivu kula za kupikwa.
 
Ulinunua dawa gani
 
Dawa nzuri ya Bawasiri ni mlonge, chemsha majani yake kunywa maji hata zaidi ya glass tatu kwa siku, au tafuna mbegu zake ila mbegu zinachefua sanaa..
 
Sikiliza radio one, kipindi cha gumzo , kuna jamaa anazijua dawa kama zote, kuna waliopona magonjwa mbalimbali kwa kusikiliza ushauri wake. Jina lake Abuu Bakari.
 
Hili janga liliniharibia demu wangu mrembo kama malaika.

Hili tatizo likimpata mwanamke anapoteza kujiamini na hisia zake zinakata kwenye tendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…