Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

Kuna anayeijua kampuni ya Salvation farm?

Tatizo wajinga wanazaliwa kila siku, wajinga hawawezi kuisha na wanakua ni mtaji kwa hao wapigaji.
Wajinga wanazaliwa kila siku ni kweli ila kinachoogopesha ni kuwa wanaotapeliwa sio wapya kuwa walizaliwa na hawajawahi kushuhudia huu utapeli, ni wale ambao wapo na wameshuhudia wengine wakitapeliwa na kulia kwenye vyombo vya habari.
 
Wajinga wanazaliwa kila siku ni kweli ila kinachoogopesha ni kuwa wanaotapeliwa sio wapya kuwa walizaliwa na hawajawahi kushuhudia huu utapeli, ni wale ambao wapo na wameshuhudia wengine wakitapeliwa na kulia kwenye vyombo vya habari.
Na ajabu na wao wanaingia hivyo hivyo wapigwe waje walie, kweli bongo nyoso
 
Wabongo kwa kujump to conclusion hatujambo yani mleta mada kaomba kufahamu kuhusu hilo kampuni watu wanaanza kumtukana mala wajinga hawishi mara nini.

Kama kuna mtu nalifahamu vyema hilo kampuni si amjuze mana ndio hitaji la mleta mada.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kampuni inayojihusisha na kilimo makao makuu yapo mbinga Ruvuma unaweza ukaeapa pesa wakakulimia mnaingia mkataba sasa nilikua nauliza Kuna mtu anaijua au ameisha fanya hivyo mm Ni mmoja wapo ambae nmewekeza
😳 Sijawai kuona kitu kama hicho.
Ila watakua tu matapeli jina lenyewe mhhh
 
Ni kampuni inayojihusisha na kilimo makao makuu yapo mbinga Ruvuma unaweza ukaeapa pesa wakakulimia mnaingia mkataba sasa nilikua nauliza Kuna mtu anaijua au ameisha fanya hivyo mm Ni mmoja wapo ambae nmewekeza
Kampuni Nzuri sana hio mkuu,hata Hawa matajiri wakubwa wa bongo Kama wakina Mengi,Mafuruki,Mo, Bakhres..etc walitokea kwny hio co. Baada ya kuweka pesa zao na wakalimiwa.

Chapa kazi mkuu.
 
Mimi naifahamu na nilishawekezaga huko, yaani no changamoto sana kupata mazao au fedha. Mimi nilifunga safari hadi mbinga kufatilia mazao yangu, nilipata gunia zangu 10 za maharage lkn kwa kuteseka sana
Kwa kuteseka tenaaa [emoji16][emoji16][emoji38]
 
Wajinga wanazaliwa kila siku ni kweli ila kinachoogopesha ni kuwa wanaotapeliwa sio wapya kuwa walizaliwa na hawajawahi kushuhudia huu utapeli, ni wale ambao wapo na wameshuhudia wengine wakitapeliwa na kulia kwenye vyombo vya habari.
Watanzania ni wavivu, wanataka kulala maskini na kuamka matajiri ndio maana wengi wakipigiwa hizo mahesabu za kutajirika wanaamini wanatoka kimaisha.
 
Kesha liwa mtu huko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wazee wa kudownload tshs
JamiiForums-124772545.gif
 
Ni kampuni inayojihusisha na kilimo makao makuu yapo mbinga Ruvuma unaweza ukaeapa pesa wakakulimia mnaingia mkataba sasa nilikua nauliza Kuna mtu anaijua au ameisha fanya hivyo mm Ni mmoja wapo ambae nmewekeza
Unaenda kupigwa tukio
 
K
Ni kampuni inayojihusisha na kilimo makao makuu yapo mbinga Ruvuma unaweza ukaeapa pesa wakakulimia mnaingia mkataba sasa nilikua nauliza Kuna mtu anaijua au ameisha fanya hivyo mm Ni mmoja wapo ambae nmewekeza
Kweli wewe ni Nyanoko. Umeshawekeza ndio unakuja kuuliza? Unataka ukafanye fujo? Hapo bwana Nyanoko Subiri tu matokeo kama utavuna au utavunwa
 
K

Kweli wewe ni Nyanoko. Umeshawekeza ndio unakuja kuuliza? Unataka ukafanye fujo? Hapo bwana Nyanoko Subiri tu matokeo kama utavuna au utavunwa
Anauliza kama kuna mtu anayeijuwa kampuni wakati yeye tayari ameingia mkataba nao. Yapaswa yeye atoe maelezo kuhusu kampuni na changamoto zake.
 
Back
Top Bottom