ππππππ ila tabora wame wanyoosha maana mnahaha ni bao3 tu mnahangaika hiviππππToka mwanzo haikuwa sawa, kutumia huo uwanja. Hata uwe na ubora gani. Soka la bongo, ni zaidi ya ujuavyo. Kuna mtu nilimwambia, baada ya kupoteza na Azam, Yanga wahame huo uwanja. Nimefurahi hili limetokea. Ukitaka majibu kaulize bench la ufundi. Wao wanapuliza, sisi tunazima.
umeandika kama vile upo kiringeni vipi kuna nini kimetokea huko!..πToka mwanzo haikuwa sawa, kutumia huo uwanja. Hata uwe na ubora gani. Soka la bongo, ni zaidi ya ujuavyo. Kuna mtu nilimwambia, baada ya kupoteza na Azam, Yanga wahame huo uwanja. Nimefurahi hili limetokea. Ukitaka majibu kaulize bench la ufundi. Wao wanapuliza, sisi tunazima.
Binti mdogo kama wewe unaanzaje kushabikia timu ya wachawi?Toka mwanzo haikuwa sawa, kutumia huo uwanja. Hata uwe na ubora gani. Soka la bongo, ni zaidi ya ujuavyo. Kuna mtu nilimwambia, baada ya kupoteza na Azam, Yanga wahame huo uwanja. Nimefurahi hili limetokea. Ukitaka majibu kaulize bench la ufundi. Wao wanapuliza, sisi tunazima.
Majini yameukataa uwanja wa Azam, lazima wakimbie.Ki ubora tumeona na tunaujua huu uwanja ukitumiwa hata kwa mechi za CAF Champions league na CAF confederation cup.
Lakini vilabu vingi vya NBC premier vimeutumia, ni nini hasa sababu ya timu ya Yanga kuuhama katikati ya msimu?
Kwenye hii barua hakuna sababu yoyote imewekwa.
View attachment 3148330
Rudia kusoma na halafu rudi hapa useme ulikuwa unatania.Milioni 6 kwa mechi ni hasara kubwa kwa Azam?Unajua wanatumia shillingi ngapi kudhamini timu za ligi kuu kutokana na matangazo?Kwa azam ni hasara kubwa sana Kwa mabingwa kuuhama uwanja.Mapato kutoka timu bingwa na Bora kuliko timu yeyote Tanzania yatahamia manispaa ya kinondoni(kmc)azam na ndugu zao Simba wajinga sana yaani wanashirikiana kuhujumu timu kubwa kimataifa?
Maelekezo ya MgangaKi ubora tumeona na tunaujua huu uwanja ukitumiwa hata kwa mechi za CAF Champions league na CAF confederation cup.
Lakini vilabu vingi vya NBC premier vimeutumia, ni nini hasa sababu ya timu ya Yanga kuuhama katikati ya msimu?
Kwenye hii barua hakuna sababu yoyote imewekwa.
View attachment 3148330
Uwanja sio wao ni sifa za kijinga tu.Ali Kamwe alijitapa kwamba Azam Complex sio Azam Complex bali ni Yanga Complex.Aliendelea kudai kwamba wanarejesha heshima ya huo uwanja kwani CAF na FIFA wanashangaa kwamba wenye hawana hadhi ya kutetea jina la huo uwanja. Hivyo wanaubadili jina na kuuita Yanga Complex.
Sasa sijui kwanini wanakimbia na walijitapa kwamba uwanja ni wao?
Kwamba mateja mnajilinda na ninYanga ni mti wenye matunda, lazima upigwe mawe; hivyo ni lazima wajilinde.