The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
mimi niliuliza maulid ana timu gani? kama ni yanga nijue, au kama ni timu ingine tusiyoijua nijue.
sasa, mtu kama maulid utashinda kumfuatilia? amtu anayelisaliti taifa kwa waarabu? anayeliathiri taifa, kwanini tusimfuatilie? umeona tumetaja watu wengine hapa?Time ya kufuatilia Maulid Ana team gani itakusaidia nini?ungefuga kuku ukajua wanakufa na kideli.
Ukute hata kuku wamiguu miwili huna unahangaika na Maisha ya watu, then unabaki kulaumu viongozi wezi sijui mafisadi. Tafuta mpenyo kijana Maisha hayakusubiri ohooo.
Hahahaaa...... Usi-panic 'braza', huo ni mtazamo wako lakini kumbuka kila mtu na maisha yake. Huenda ndo ratiba yake amepanga iwe hivyo.Kwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
Ni mwenyeji wa wapi huyu kijana?Duuuh, hadi ndevu unataka kumpangua mkuu? View attachment 2737428View attachment 2737430View attachment 2737429
Aiseeeangelikuwa mtu aliyetulia, yaani ana maisha ya kiutuuzima, angepata pande zuri sana huyo, sasa mtu yupo kwenye 50s lakini unaona anaishi tuuu kama kijana na hatujui kama ameoa. kwa msiofahamu, ili uitwe mtu mzima kipimo mojawapo ni kuoa, kuishi na mwanamke hiyo hata kwenye Biblia ilishaandikwa kwamba kama mtu anashindwa kumanage familia yake tu atawezaje kumanage cheo kama cha uaskofu kwamfano n.k. aoe, aishi kiutuuzima, apunguze makelele kama under 18. hapa sio ulaya ambako watu hawafuatiliani maisha, bongo maisha utafuatiliwa tu na watu hata kama hutaki.
Hivi mwanaume unapata wapi muda wa kufatilia maisha ya mwanaume mwenzako?Tokea arejee kutoka BBC Uingereza namuona ni kama vile anautaka Ujana ( Anajidogoza ), ana Mashindano ya Kula Bata na Mtu, kuna Umuhimu wa Kilazima kwa Jamii anataka Kujipa, ana Mchanganyiko ( Mseto ) wa Sifa na Ushamba fulani hivi, ni kama vile hajielewi na Kadata ( Kachanganyikiwa ) fulani hivi na Mtu ambaye hajui anataka kufanya nini sasa.
Ushauri wangu GENTAMYCINE Kwake ni kumuomba hebu atulize Kwanza Akili ( Kichwa ) na atafakari anataka kufanya nini Tanzania na kwa Watanzania kutokana na Exposure yake Kubwa kutoka kwa Wakubwa Waingereza kuliko nionavyo sasa na kama nilivyoelezea hapo juu.
Serikali hii Hazina Kubwa Salim Kikeke mnaiacha nini badala ya Kumtumia ili apunguze Mizururo yake ambayo ni kama vile naona inaanza kumpunguzia Credibility aliyonayo kwa Jamii husika ya Watanzania?
au nyie Watu wa Azam Media ( ambayo najua ndiyo pekee wenye Financial Muscles ) za Kumuajiri na Kumlipa Mshahara mkubwa na mnono Salim Kikeke kwanini msimchukue ili mtupunguzie hii 'Mizururo' yake hapa Mjini Dar es Salaam na huko Mikoani?
Ukiona GENTAMYCINE anakuchana ( anakusema ) hivi jua Anakupenda, anajua Potential yako, anaumia kuona Unavyopotea na anataka Ushtuke upesi, ujitafakari na ubadilike ili uendelee kuwa bora na ikiwezekana hata kuzidi ulivyokuwa mwanzo.
Salim Kikeke najua kabisa ( fika ) kuwa GENTAMYCINE Mimi sikufikii kwa lolote lile kuanzia Elimu, Hadhi, Uzoefu, Utajiri, Umaarufu, Pesa ( Mawokoto ) na Exposure, ila nakuomba yatafakari yote haya niliyokuandikia hapa kwani hata Mimi pia nina Utajiri mkubwa ambao ni Tunu / Shani yangu ya Maono, Upeo wa mbali, Akili Kubwa za Asili na Ushauri wa Dhahabu ambavyo nina uhakika huna na kamwe hutokuwa navyo hivyo basi yafanyie Kazi na ipo Siku hata Kimoyomoyo tu utakuja Kunikumbuka na Kunishukuru Nabii na Mtume wa JamiiForums Mimi.
Ninakukubali na nakutakia Mafanikio.
Mim namuona sana
Ila naijua hali aliyonayo ambayo huwapata watu waliokaa muda mrefu mbal na nyumban
Kwa yeye aliyekaa miaka 20 nadhan ughaibun huenda katunza hela zake.huenda bata unayoiona kaweka bajet yake may be 50milion. Kutia mafuta prado lake na kuzunguka mikoan na kusalimia
Asikwambie mtu ulaya panachosha basi tu kazi hizo.ila mtu anamiss nyumban. Na akimaliza bajet aliyojiwekea anatulia mim nampongeza tena akienda rufiji na mwari anaozeshwa. Nashaur katika mizunguko yake aende na njia ya kusin akale samak nangurukuru.
Nakubaliana nawe 100% kwa hili Mkuu.Yaani kila tamsha yupo, anazurura zurura tu huku na kule na vituko kila mahali..itakuwa kuna stage kwenye ujana mdogo aliruka..