Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

mimi niliuliza maulid ana timu gani? kama ni yanga nijue, au kama ni timu ingine tusiyoijua nijue.

Time ya kufuatilia Maulid Ana team gani itakusaidia nini?ungefuga kuku ukajua wanakufa na kideli.

Ukute hata kuku wamiguu miwili huna unahangaika na Maisha ya watu, then unabaki kulaumu viongozi wezi sijui mafisadi. Tafuta mpenyo kijana Maisha hayakusubiri ohooo.
 
sasa, mtu kama maulid utashinda kumfuatilia? amtu anayelisaliti taifa kwa waarabu? anayeliathiri taifa, kwanini tusimfuatilie? umeona tumetaja watu wengine hapa?
 
mwandishi hapendi bata za Kikeke wala mafanikio yake
na kikeke inaweza kuwa kweli anazingua yote seems possible in humans
 
Kwa nimjuavyo Salim Kikeke hana IQ hiii ya Kipumbavu kama uliyonayo na anijibu hivi badala yake atachukua Ushauri wangu na Kuufanyia Kazi kwa manufaa yake, Jamii iliyomzunguka na Taifa kwa Ujumla.
Hahahaaa...... Usi-panic 'braza', huo ni mtazamo wako lakini kumbuka kila mtu na maisha yake. Huenda ndo ratiba yake amepanga iwe hivyo.
 
Aiseee
 
Hivi mwanaume unapata wapi muda wa kufatilia maisha ya mwanaume mwenzako?

Kama anafanya mizurulo kwa pesa yanjasho lake tatizo li wapi?

Uki focus kwenye ishu zako huwezi kuwa mlozi!
 
Mtume Mwamposa

Kumetokea Nini Hapo. . .Watu Wanapata Miujuza Yao Sasa.....
 
Tupunguze makasiriko wakuu, fedha yake bata, gari lake, mwachen azitumie kwann ww ukiamua kutumia fedha zako ulizozotafuta kwa jasho utataka mtu akupangie namna ya kutumia?
 

Nakuelewa sana, bata ale yeye, hela anayochoma yake, raha anajipa yeye, MACHUNGU AONE MWINGINE, huu ni wivu,

Kila mtu aishi maisha yake, huwezi mlazimisha mtu aishi maisha yako!! Huo ni utumwa!! Mwacheni ale raha!!
 
Dogo tafuta Pesa, hili upunguze kufatilia maisha ya watu.

Mtu asome kwa shida zake, afanye kazi kwa shida zake. Alafu matumizi ya kutumia pesa za jasho lake uje kumpangia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…