Kuna anayemwelewa Salim Kikeke na 'Mizururo' yake Holela ya hapa na pale Dar es Salaam na Mikoani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Uko sahihi,mwamba hasomeki kabisa siku hizi! Hata post zake zinatia shaka..dizaini kama anatumia kile kijiti! Sijui nani alimuambia aache ile midevu...
Sa KIJITI kimehusikaje Mkuu...... tuwe na heshima kwa Kijiti Jamaa angu.... next time jirekebishe..
 
Mtu anatumia pesa aliyochuma Kwa jasho lake, hajavunja Sheria yoyote ya nchi, lakini Bado mtanzania anakereka
 
JAMAA:Why are you eating chemical foods?

CHILD:Because i love them

JAMAA:Stop them,those foods will make you die early

CHILD:But my grandmother has lived 111 years

JAMAA:She has lived so long by not eating chemical foods

CHILD:No,she was an expert at minding her own business.


"Usinishauri utanichanganya"-Alisikikia mlevi mmoja.
 
Kule UK wanapiga sana kazi,hakuna zuga zuga kama huku kwetu,naona hata vishavu sasa hivi vimemtoka,inawezekana yuko kwenye mapumziko kwa sasa,ila sidhani kama ndio itakuwa life style yake.Aftreall future yake iko bright sana kwa fani aliyonayo...
 
Unatembea sana kka mkubwa .
Ukifika tena Rwamishenye dispensary please join me to insult Satan at Kill time Bar.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Ughaibuni wanasema kuna upweke sana tofauti na huku.
Kikeke akiwa Ulaya ni wa kawaida tu ila akija bongo ni bonge la mtu, akiingia mkoani watu watataka wapige nae picha. Na yule mtangazaji mwenzie Zuhura alisema kule maisha ni ghali sana hasa hilo jiji la London.

Huku akiwa na M kadhaa anakula tu misele namna hiyo na bado ana uhakika wa ajira kwenye taasisi kibao bila hata cv.

Hata mimi Ulaya ningeenda kutafuta tu, life ningekuja kulia bongo kama jamaa alicyofanya.
 
Wewe ni kama Mimi,,sipendi kuwa na watu wale wale Kila siku
 
ww mwenyew una mitizamo ya ki ccmu , nan atakujengea kwenu?
Kweli wewe ndio ccm kabisa. Kujenga kwenu lazima uje wewe mwenyewe?. Labda ksbb wabongo mnapenda misifa,lazima uje mwenyewe utanue mabega wakuone. Umeiona Kenya ilivyijengeka Yale majumba,ni wakenya waishio ulaya
 
Balance shobo. Alamsik!
 
Kweli wewe ndio ccm kabisa. Kujenga kwenu lazima uje wewe mwenyewe?. Labda ksbb wabongo mnapenda misifa,lazima uje mwenyewe utanue mabega wakuone. Umeiona Kenya ilivyijengeka Yale majumba,ni wakenya waishio ulaya
[emoji23][emoji23][emoji23] ukiwa afrika huez ijenga afrika ? amka mkuu
 
Na hili ndo hufanya waafrica tufe haraka sana,wenzetu wazungu hukua mwili tu,lakini sisi,ni hukua mwili na akili,utasikia umri wako umeenda,usicheze mchezo huo tena,mara we ushakuwa mzee tulia nyumbani,yaani taifa halieleweki hili
 
Uko sahihi kimtizamo ila vipi kama ni plan yake baada ya kufanya kazi kama mwajiriwa kwa muda mrefu ametenga muda kidogo wa kupumzika na kuifuraisha nafsi yake atulize na akili
Na akiwa anajipanga kurudi mchezoni akiwa anajitegemea au ata akaajiriwa sehemu nyingine
 
Golden people ndo zao kama humtumii anajichanganya Kila. Mahali unajua nn hata yeye hajui anafanya Nahisi kuna mtu kamlia Mingo amemtoa BBC Kwa ahadi halafu kaachwa manzese anitafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…