Kuna anguko kubwa sana la kujua kuandika sentensi na herufi sahihi za maneno miongoni mwetu Watanzania

Kiswahili kitakupa MAARIFA gani michongo ni English Andika English upate kupendwa na serikali
 
Ghairi
Ahirisha
Haya ni maneno yenye maana tofauti, ghairi inatokana na kakubaliana.
Ahirisha haina kukubaliana kokote
Ghairi au kughairi maana yake ni kubadilisha msimamo wako au jambo ulilokua unataka kulifanya,mfano "Nimeghairi kesho sitosafiri" hakuna tofauti kubwa sana na neno Kuahirisha.
 
Siku hizi unakuta mtu anaandika "Yule ana ela" hapo kwenye "ana" ana maanisha "hana" hajui kua hayo ni maneno mawili yanayo pingana kwenye maana zake,

Ukisema "ana" maana yake anayo,ila ukisema "hana" maana yake hana hicho kitu.
 
Siku hizi unakuta mtu anaandika "Yule ana ela" hapo kwenye "ana" ana maanisha "hana" hajui kua hayo ni maneno mawili yanayo pingana kwenye maana zake,

Ukisema "ana" maana yake anayo,ila ukisema "hana" maana yake hana hicho kitu.
Yaani ni tafrani tupu, na ni wabishi wakielekezwa, utasikia "si umeelewa lakini?" [emoji16]
 
Halooo, hali ni mbaya mno! Kuna jamaa zangu ni wahitimu wa chuo kikuu lakini uandishi wao si kiingereza wala kiswahili
 
...tuko tuendakao
....huko tuendako
Nimeanza na wewe.
Muosha huoshwa
 
Wewe ndio unatatizo.
Umeshindwa kuelewa "smart keyboard mis type". Je hayo makosa ni ya hand writing? Scan hizo hand writing hapa.
Ungesema kuna tatizo la ku edit ningekuelewa.
Ukisoma kozi za program za office utajifunza kipengele cha " editing".
Kiujumla ni kwamba wakosoaji wengi humu wa mwandiko hamjui mnacho kikosoa.
Eti mtu anakosoa kabisa "unamwandiko mbaya".This is sh#t!
Hakuna anae andika kwa pen humu kupata mwandiko it is a computer program.
JIFUNZENI TOFAUTI YA UANDISHI, MWANDIKO, MAANDISHI, INSHA NA HABARI.
Inawezekana mimi niliesoma 90 bin kweusi sielewi.
Ila katika sayansi ya mwandiko kuna
CHAPA.
MWANDIKO wa KUUNGA.
MwandIko ni uchoraji wa maumbo ambayo huunda herufi na hatimae maneno (mimi ninaumba nini kwenye keyboard ya mzungu?).
Na uchoraji huo una hatua.
Katika maendeleo ya teknolojia binadamu ana achana na hand writing na kutumia electronic writing.
Computer ptograms kama window zimeisha andaa miandiko yote ya mwanadamu.
Sasa hivi kuna hata maneno, progran inakupa suggestion ya maneno ili uunde sentensi, nadhani AI italeta suggestion hata ya sentensi na insha.
Mi naona kama umeandika UGOLO.
 
Halooo, hali ni mbaya mno! Kuna jamaa zangu ni wahitimu wa chuo kikuu lakini uandishi wao si kiingereza wala kiswahili
Wewe unashida. Mtu akijifunza lugha zaidi ya moja anaweza kuingia kwenye tatizo la kuchanganya lugha sikumbuki wanaitaje kuna neno maalumu la hao watu.
 
Tuko tuendapo una namaanisha nini??

Keyboard za simu zinachangia unakuta mtu umeamua kuandika neno fulani ila keyboard ya simu inabadilisha neno hilo
 
Halooo, hali ni mbaya mno! Kuna jamaa zangu ni wahitimu wa chuo kikuu lakini uandishi wao si kiingereza wala kiswahili
Wewe unashida. Mtu akijifunza lugha zaidi ya moja anaweza kuingia kwenye tatizo la kuchanganya lugha sikumbuki wanaitaje kuna neno maalumu la hao watu.
 
Taasisi pekee ibayoweza kuthibitisha ratizo la mwandiko ni NECTA maana wanasaisha mwandiko alioandika mtahiniwa sio ulioandikwa na computer.
 
Inawezekana hali ni mbaya kuliko zamani, labda kwa sababu walimu wa sasa sio wakali, na walimu wenyewe wana mapungufu kama hayo. Pia tusisahau uwepo wa wasomi wengi na uwepo wa teknolojia za social media ambao unatufanya tuone mengi peupe.
 
Unaogopa sana TUKO tuendapo[emoji23][emoji23]
 
Siku hizi unakuta mtu anaandika "Yule ana ela" hapo kwenye "ana" ana maanisha "hana" hajui kua hayo ni maneno mawili yanayo pingana kwenye maana zake,

Ukisema "ana" maana yake anayo,ila ukisema "hana" maana yake hana hicho kitu.
Mbona hamumsemi jiwe aliyesema 'kata' ni maneno mawili ka ta!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…