Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Cheat nyingi za walio wezeshwa pesa na kitandahi huwa ni visasi na shoulder to cry baada kugundua .....jamaa ana nyumba ndogo.......mengine ongezea wewe
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Tatizo lako kubwa ni kuwa unaona wanawake kama chombo cha mwanamke. Hili ni kosa kubwa tunalofanya wanaume wengi. Sababu zinazofanya mwanaume mwenye mke mzuri na anayemridhishwa kuchepuka ndiyo hizi hizo zinazofanya wanawake wachepuke.
 
Tatizo lako kubwa ni kuwa unaona wanawake kama chombo cha mwanamke. Hili ni kosa kubwa tunalofanya wanaume wengi. Sababu zinazofanya mwanaume mwenye mke mzuri na anayemridhishwa kuchepuka ndiyo hizi hizo zinazofanya wanawake wachepuke.
Mi nahisi labda kuwaweka wanawake na wanaume kwenye mizani moja sio sawa, nahisi kama wanaume tuna matamanio sana ya sex kuwazidi wanawake. Ndo maana unakuta kuna wanawake wanakaa hadi mwaka hawajasex ila kwa mwanaume ambaye tayar ushaonja utamu wa mwanamke, kukaa hata miezi 3 ni changamoto
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Atakwambia uko bsy sana na kazi huna muda naye
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
100%
 
Kwa nini unategemea wewe mwanamme u-cheat na yeye asifanye hivyo? Kwani mwaume mwenye mke mzuri kabisa anapo cheat

Kwa nini unategemea wewe mwanamme u-cheat na yeye asifanye hivyo? Kwani mwaume mwenye mke mzuri kabisa anapo cheat amekosa nini?
Wapi nimesema kuwa hatakiwi kucheat?
Nimejibu swali Lake tu
 
Kama ulimkuta used lazima atakucheat tu

Mpini wako mmoja hauwezi kumtuliza mwanamke ambaye kashachezea marungu tofauti tofauti

Kila mwanaume aliyekutana naye alimpa ladha tofauti tofauti na sexual fantasies za aina mbalimbali kila akifanya comparison atakuona haupo full package atatafuta mipini mipya

Your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
 
So maana yake akijua yupo kwenye safe hands na unampatia pesa na kumridhisha, maana yake possibility ya kucheat inakuwa ndogo?
Haswaaaaa utùlie na yy asiwe makundi pombe huko atadanfanyws tu.....ataambiwa unadhani mumeo hana shauri yako na ujinga wako mashiga hatariiii piaa
 
Back
Top Bottom