Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

Kuna asilimia ngapi za mwanamke kucheat ikiwa anaridhishwa ipasavyo kitandani?

Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Kwa ufupi tangu dunia imeumbwa hakuna aliyewahi kupata jibu, ingawa kwa kupanua uelewa wanawake hubadilika kila wakati, akiwa na asiye na pesa na anamridhisha kitandani atatafuta mwenye pesa ambao mara nyingi hawako romantic na hawana muda wala utaalamu on bed, atahitaji pia handsome wa kushow off nae, hakuna mwanaume mwenye vyote, pesa, mtaalamu kitandani, romantic, mbembelezaji, mwenye muda, handsome nk na ndio sababu kubwa ya kuwa dynamic. Kibaya zaidi mwanamke anaheshimika kwao kama mchango wake kipesa ni mkubwa hata kama ni wa mwisho kuzaliwa, hapo ndio Tatizo la usaliti utaona ni gumu kutatulika
 
Unadhani bado upo kwenye dunia ambayo sex ni mwiko kwa mwanamke kabla ya ndoa. Pole sana

Nikusaidie tu. Binadamu haridhishwi, Ila anaamua kuridhika na kutosheka

Binadamu hatulizwi, Ila anajituliza

Kwa hiyo kama bado unafikiri kuwa fundi na kutoa pesa umemaliza. Pole sana kwa sababu binadamu yoyote ana tabia ya kukinai na kukichukulia poa kile anachokipata daily. Hivyo kiu ya kupata kitu kipya au tofauti huwa ni kawaida sanaa

Kwa hiyo ni kheri hata wenye hofu ya Mungu au wenye upendo mkubwa kwako watajizuia.. Ila wengine mkuu, hesabu maumivu
Umeongea point nzuri nimeipenda... kumbe napo kuna issue ya uwezo wa mwanamke kuridhika na kujituliza, inawezekana sio wanawake wote wanaweza kuishinda huo mtego.

Na kuna wadau wengine walisema ikiwa mwanamke ana historia ya mahusiano mengine kabla yako naye ana probability kubwa ya kucheat
 
Siko mbali kuna mchangiaji mmoja kazungumza kitu kimoja "binadamu tunatabia ya Kuchoka ya kukinai kile kitu ambacho tu nakutumia Kila siku"

Nikupe testimony nilikuwa na mpenz wangu tulikuwa tunafanya mapenz Ata mara tano kwa siku😂siku moja akaniambia "nimekinai akaongezea jitahidi uwe unakaa Ata mwez ndo unakuja kunitembelea" mimi nikapuuzia kilicho Kuja kutokea itabaki stort mkuu🙄
Embu mwaga story hiyo ilikuwaje kuwaje....
 
Ndo nataka kujua kwa upande wa wanawake nyinyi mpo vipi? Natumai hatuwaweki kwenye mizania moja wanawake na wanaume. Nyinyi wanawake naskia mnaweza kukaa hata mwaka bila kusex wakati kwa wanaume kukaa mwezi tu ni mtihani
Mwanamke au Mwanamme wa Kiislam ku "cheat" ni Kuwa kafiri.

Wakulaumiwa ni jamii inayoona ntu anafanya uasherati na zinaa inamtazama tu.
 
Kuridhishwa kuendane na pesa mkuu....kikikosekana kimoja hapo...bass imekula kwako.
Lakini pia usisahau unaweza kuwa navyo hivyo vyote lakini bado akakucheat kwa kumwonea huruma mwanaume.
Hivyo,omba Mungu upate mwanamke mwenye utulivu wa asili
 
Kwa ufupi tangu dunia imeumbwa hakuna aliyewahi kupata jibu, ingawa kwa kupanua uelewa wanawake hubadilika kila wakati, akiwa na asiye na pesa na anamridhisha kitandani atatafuta mwenye pesa ambao mara nyingi hawako romantic na hawana muda wala utaalamu on bed, atahitaji pia handsome wa kushow off nae, hakuna mwanaume mwenye vyote, pesa, mtaalamu kitandani, romantic, mbembelezaji, mwenye muda, handsome nk na ndio sababu kubwa ya kuwa dynamic. Kibaya zaidi mwanamke anaheshimika kwao kama mchango wake kipesa ni mkubwa hata kama ni wa mwisho kuzaliwa, hapo ndio Tatizo la usaliti utaona ni gumu kutatulika
Umeongeza point nzuri sana mkuu ambazo kuna wadau hapo juu walikuja na point kama mbili zinashabihiana.

So far nimeweza kung'amua kwamba probability ya mwanamke kucheat hata kama unamridhisha kimapenzi inaweza kutegemeana na mambo yafuatayo
1. Kama alikuwa na historia ya kuwa na wanaume wengi kabla yako huyo kucheat haoni kwamba ni jambo gumu kulifanya ila ukioa bikra possibility yaweza kupungua.

2. Mwanamke mwenye tamaa au kukosa kiasi pia anaweza kukucheat hata kama unamfanyia mazuri mengi kiasi gani sababu anakuwa hatosheki na unachomfanyia iwe kitandani au kipesa
 
Kwa ufupi tangu dunia imeumbwa hakuna aliyewahi kupata jibu, ingawa kwa kupanua uelewa wanawake hubadilika kila wakati, akiwa na asiye na pesa na anamridhisha kitandani atatafuta mwenye pesa ambao mara nyingi hawako romantic na hawana muda wala utaalamu on bed, atahitaji pia handsome wa kushow off nae, hakuna mwanaume mwenye vyote, pesa, mtaalamu kitandani, romantic, mbembelezaji, mwenye muda, handsome nk na ndio sababu kubwa ya kuwa dynamic. Kibaya zaidi mwanamke anaheshimika kwao kama mchango wake kipesa ni mkubwa hata kama ni wa mwisho kuzaliwa, hapo ndio Tatizo la usaliti utaona ni gumu kutatulika
Umeongeza point nzuri sana mkuu ambazo kuna wadau hapo juu walikuja na point kama mbili zinashabihiana.

So far nimeweza kung'amua kwamba probability ya mwanamke kucheat hata kama unamridhisha kimapenzi inaweza kutegemeana na mambo yafuatayo
1. Kama alikuwa na historia ya kuwa na wanaume wengi kabla yako huyo kucheat haoni kwamba ni jambo gumu kulifanya ila ukioa bikra possibility yaweza kupungua.

2. Mwanamke mwenye tamaa au kukosa kiasi pia anaweza kukucheat hata kama unamfanyia mazuri mengi kiasi gani sababu anakuwa hatosheki na unachomfanyia iwe kitandani au kipesa
2.
 
Mwanamke au Mwanamme wa Kiislam ku "cheat" ni Kuwa kafiri.

Wakulaumiwa ni jamii inayoona ntu anafanya uasherati na zinaa inamtazama tu.
Ndo imeshakuwa kwa jamii ya watanzania kuziangalia dhambi hizo za uasherati kwa macho unakuta kabisa majirani wanajua mke wako anachepuka na nani... inatia kinyaa (ingekuwa nchi za kiarabu labda maadali yangekuwepo)

Ila kibongobongo inabidi sasa tuende extra mile kutafiti kwanza ili kujikinga na hichi kitu ambacho kama ikitokea mwanaume ukajua mwanamke wako anacheat maumivu yake sio madogo
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na saba
Sababu
😂Mie wiki tu tatzo

Mfano kwangu mimi labda niseme naweza muona mwanamke mzuri ameumbika nikajikuta ghafla nimetamani kumla.. sasa unataka kuniambia na nyie wanawake mnavutiwa na wanaume wazuri kama sisi tunavyovutiwa na wanawake wazuri??

Mi sitaki kuamini hivo, nahisi wanawake mna vipaumbele vyenu vya tofauti na mimi sipendi kuwaweka kwenye mizani moja.
Sababu zipo ngingi TU kwa kuanza hebu tuangalie kwa upande wetu sisi wanaume, je tukipata wanawake wanaoturidhisha, tunaishiwa kutamani?
Kama ilivo kwa waume hata na wake nao ni ivoivo.
Unaweza ukamtimizia kitanda pia kiuchumi ukamtimizia lakini atahitaji pia abadili ladha yan atahisi kunaladha nyingine zaidi ya hii.
Mfano Mimi huwa napenda sana nyama lakini sipendi kula kilasiku.
 
Kuridhishwa kuendane na pesa mkuu....kikikosekana kimoja hapo...bass imekula kwako.
Lakini pia usisahau unaweza kuwa navyo hivyo vyote lakini bado akakucheat kwa kumwonea huruma mwanaume.
Hivyo,omba Mungu upate mwanamke mwenye utulivu wa asili
Daaah hiyo ya huruma inatia hasira kweli ... hapo mwanamke unakuwa umeambiwa nini mpaka upate huruma kiasi hicho??
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Akiwa ananicheat namcheat na yeye kupunguza maumivu tena namcheat kwa kutumia pesa zake natft mme aliyemzidi kila kitu
 
Umeongeza point nzuri sana mkuu ambazo kuna wadau hapo juu walikuja na point kama mbili zinashabihiana.

So far nimeweza kung'amua kwamba probability ya mwanamke kucheat hata kama unamridhisha kimapenzi inaweza kutegemeana na mambo yafuatayo
1. Kama alikuwa na historia ya kuwa na wanaume wengi kabla yako huyo kucheat haoni kwamba ni jambo gumu kulifanya ila ukioa bikra possibility yaweza kupungua.

2. Mwanamke mwenye tamaa au kukosa kiasi pia anaweza kukucheat hata kama unamfanyia mazuri mengi kiasi gani sababu anakuwa hatosheki na unachomfanyia iwe kitandani au kipesa
Sure
 
Hili ni swali ambalo wanaume tumekuwa tunalitafutia majibu kutoka kwa wanawake. Mfano, kwa mwanamke ukiwa kwenye relation na mtu ambaye anakuridhisha sana kitandani, ni sababu ipi inaweze kupelekea uka cheat mbali na wewe kuridhishwa kimapenzi?

Nikiweka other factors constant, mfano kama mpenzi wako pia amekuwa na uwezo wa kutatua changamoto zako za kifedha japo sio zote (mwanaume mwenye uchumi wa kawaida kukuhudumia shida zako walau kwa asilimia 55)

Mtu wa namna hiyo, kuna asilimia ngapi za wewe kuweza kumcheat na sababu inakuwa ni nini haswa?

Nawasilisha
Hakuna mwanamke anayeridhika na kila kitu alicho nacho. Ukimpa A atata A an B ukimpa zote atata na C
 
Wanawake huwa hatucheat.
Mbona kuna wanawake wamesema huko juu kwamba na wanawake nao wanapata hisia za kucheat kama wanaume?

Jibu lako naliona zaidi lina ukweli kwa wanawake ambao hawakuwahi kuwa na mahusiano hapo kabla, kwamba inakuwa ni ngumu sana kushiriki mapenzi nje na mume au mpenzi wake regardless of anything
 
Am sorry to tell u that u have got a very little understanding about women. Mwanamke hatakiwi kupewa kila kitu wala hatakiwi kuridhishwa kwa kila kitu. Mwanamke anatakiwa kupewa " wasiwasi". Katika siku zote za mahusiano yenu mwanamke anatakiwa kuwa na wasiwasi wakati wote. Ukimridhisha au ukimpa kila kitu basi umemkosa.

Asilimia 99 ya wanaume walio chitiwa na wake zao huwa wanasema " Nilimpa kila kitu huyu mwanamke"

Kumpa kila kitu ndio sababu ya kwanza ya yeye kukucheat.

Hiyo sio nature ya mwanamke tu ni nature ya wanadamu wote.

Ndio maana hata Mungu alipotupa kila kitu pale bustani ya Eden tukaishia kumcheat na shetani. Ndio sababu Mungu Hawapi wanadamu kila kitu.

U need to know that. Women comes with an expire date. They have to be replaced after every six months or at least or two years.
 
Umeongea point nzuri nimeipenda... kumbe napo kuna issue ya uwezo wa mwanamke kuridhika na kujituliza, inawezekana sio wanawake wote wanaweza kuishinda huo mtego.

Na kuna wadau wengine walisema ikiwa mwanamke ana historia ya mahusiano mengine kabla yako naye ana probability kubwa ya kucheat
Ni kweli na kama hilo suala ni jipya duniani bhasi wanawake wasingekeketwa enzi hizo ili kuwaondolea hamu na ladha ya tendo la ndoa kiasi cha kutoweza kucheat.

Kwa hiyo toka enzi na enzi, mtu akishaweza kuwa na mahusiano mengi kabla ya ndoa inamaanisha anakuwa analinganisha alicholipata, anachokipata na ambacho anaweza kukipata kama ataingia tena mjini.

Kwa hiyo binadamu wa aina hiyo ni kiasi cha kujituliza kwa kuridhika na anachokipata
 
Back
Top Bottom