Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Huo uaskari wake ukowapi, naona amevaa fulana ya mtaani au nyie mnamfahamu?Unaziba sura ya nini wakati ni matendo yake.shoga askari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo uaskari wake ukowapi, naona amevaa fulana ya mtaani au nyie mnamfahamu?Unaziba sura ya nini wakati ni matendo yake.shoga askari
Hiyo video ni ya zamaniWiki hii kumetoke trending katika mitandao mingi ya ya kijamii inayomuonesha Askari polisi akiwa kwenye gari na akisikiliza wimbo wa Whozu "Vava vava Vavavavayo" .
Nimezunguka Twitter kote na Instagram , kuna walioenda moja kwa moja na kumpa tuhuma za Ushoga. Sasa kwa kuwa video hiyo inamuonesha akiwa na Gwanda. Hii ni aibu na inachafua taswira ya Jeshi la Polisi.
Why dont you come out and mtoe ufafanuzi za je ni uzushi am si uzushi, na kwa kuwa nyie ndo mamlaka ya usimamizi wa sheria, kwa nini msichukue hatua za kisheria ikibainika ni kweli ama si kweli.
1. Kama ni kweli asimamishwe kazi na kuchukuliwa hatua za kisheria.
2. Kama sikweli asisimamishwe kazi na waliozusha na kutengeneza uvumi huo wachukuliwe hatua.
Picha nyingine inayosambazwa ni hii:
View attachment 2534419
Naona wanavaagaHivi waislam wanavaa Pete za ndoa? Naomba Elimu
Wimbo unaosikika mbona umetoka juzi kati tu.
Umejuwaje kama ni ya zamani?
Mbona hakuhukumiwa?
Kila kitu tunasingizia Ulaya. Wa Ulaya wapambane nayo huko huko kwao, wa kwetu tupambane nao huku huku kwetu. Tusijifiche kwenye kichaka cha UlayaRoho za kishoga zinasambazwa na video za ponografia. Hiyo ni ajenda ya wazi kabisa huko ulaya.
Hadi video zake watu washazionaAfu tushamfahamu sura....Uzi mwingine yupo sura[emoji15]
MaskiniHadi video zake watu washaziona
Anavyobanjuana
Ova