Sisi ni tofauti na wale wenzetu wa stone age ?Omba usiugue mkuu,Kuna Dada tulikuwa tunafanya naye mazoezi gum, alitumia matunda na mboga na maji. Alipitiwa na malaria kidogo, alishiia kulazwa kwa mikocheni hospitali,kila chakula ni muhimu maishani mwetu. Tatizo ni quantity na mda unaokitumia kama metabolism ipo juu au chini.pia miili ya watu ina respond tofauti na hizo diet
Sent using Jamii Forums mobile app
una uzito kilo ngapi mkuu, na urefu wako ni sentimita ngapi? nataka nikushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni diet nzuri sana na unapungua vyema huku ukipata vitamini za kutosha. Nimepunguza kilo 12 kwa kufanya hivyo.
Ila mimi ni mpenzi wa nyama sana so huwa napata na mshikaki 1 au 2 na sometime kipande cha kuku kwa mchana..
Ratiba huwa hivi.
1. Asubuhi chai ya rangi au mchaichai au tangawizi na iliki nashushia na slace 4 na brown bread au mihogo.
2. Mchana matunda mchanganyiko na nyama mishikaki miwili au robo kuku.
3. Usiku matunda tupu.
4. Asubuhi naamka saa 11 mazoezi then kazini...
Ratiba hii ni kwa jumatatu to ijumaa weekend ni mwendo wa gambe tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utoto maana mwili unaitaji wanga kwaajili ya kuupa nguvu sasa ukila matunda tu unatafuta nini labda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ramadhani huwa tunabinua meza tu yaani upside down tunafuturu jioni daku tunagonga saa6 usiku na saa11 alfajiri mchezo kwisha.Hakuna shida yoyote, mbona mwezi wa Ramadhani watu wanafunga mwez na wapo fresh tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio rahis kupata madhara kama utakula matunda yenye mchanganyiko na maziwa na samaki siku moja moja..
Uzito mkubwa unaweza kuleta madhara makubwa kwa baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hayo matunda yanakuba balanced diet basi hakuna tatizo...Zingatia kula matunda yenye kazi hizo chini:-
1.Kujenga Mwili
2.Kulinda mwili.
3.Kukupa nguvu na joto mwilini.
Wanafunga wapi wakati wanageuza mchana kua usiku na package ya msosi kama wote.. kuanzia sa 12 jioni usiku kuchwa wanakula hadi 11 alfajiri... Huyo kafunga nn?Hakuna shida yoyote, mbona mwezi wa Ramadhani watu wanafunga mwez na wapo fresh tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watermelon,Banana,Apples etcUnaweza kunisaidia pia mfano wa matunda au kundi la matunda mkuu km hutojali itanisaidia san ktk safr yng ya kupunguza uzito
Asante mkuu nadhan sasa hii ratiba niizingatie alaf takuja na mrejesho baada ya kumaliza safar ya mwez
Wanafunga wapi wakati wanageuza mchana kua usiku na package ya msosi kama wote.. kuanzia sa 12 jioni usiku kuchwa wanakula hadi 11 alfajiri... Huyo kafunga nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea unakulajeHello wadau... Je ni kweli kwa kushindia kula matunda na maji bila kula chakula chochote, kwa mwezi mzima kunaweza kushusha uzito na kupungua unene? Na je kutakua na madhara gani labda yanayoweza kujitokeza kwa kufanya hivi? Itakua vema kwa watalaam wakitujuza hili tusiojua.
Inategemea unakulaje
Super hero daddy
Ha ha ha, tunafunga mkuu ingawa ndio hvyo tena usiku tunapakia mzigo wa kutosha.Wanafunga wapi wakati wanageuza mchana kua usiku na package ya msosi kama wote.. kuanzia sa 12 jioni usiku kuchwa wanakula hadi 11 alfajiri... Huyo kafunga nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, kwa hizo kilo fanya juu chini zishuke mkuu, kwa urefu wako inatakiwa ziwe 75 ukizidi sana 80.so uko over obesity.Kg102 en ft5’ na point hiv
Kweli mkuu ndio maana kuna ambao hawapungui kabisaa, mimi binafsi ramadhan huwa inanisaidia sanaRamadhani huwa tunabinua meza tu yaani upside down tunafuturu jioni daku tunagonga saa6 usiku na saa11 alfajiri mchezo kwisha.