Chrix_Tz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 880
- 1,100
- Thread starter
- #41
Aisee, kwa hizo kilo fanya juu chini zishuke mkuu, kwa urefu wako inatakiwa ziwe 75 ukizidi sana 80.so uko over obesity.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni tatizo kwel mkuu af zilipanda ghafla sana kiukwel yaan mpk me mwenyewe siku hiz najishtukia maana kitambi nacho kinanitaka duh ad naogopa kwenye mambo yetu naeza poteza hali ya kujiamin kias